Kamwe sitakuja kutoa mahari!

Kamwe sitakuja kutoa mahari!

Ukitaka kuoa wee angalia gari limetembea kilomiter ngapi. Sio lazima liwe jipya
. Maana mengine yanaendeshwa kwanza viwandani nakubeba mizigo mizitu humo viwandani halafu linapakwa rangi upya. Kikubwa kilomiter zisiwe nyingi kuepuka marwkebisho ya mara kwa mara baada ya kulimiliki.

Chagua kusuka au kunyoa
Unapimaje sasa hizo km

Sent using Jamii Forums mobile app
 
``Hata hivyo aliongea maneno hayo akiwa amelewa chakari"
 
Naunga mkono na miguu.
Mwanadamu anunuliwi, mahari ni kama pongezi na ufunguo wa kufungulia bikra.
10000%
 
Mwanamke asiye na bikra kisheria za kibiblia unaruhusiwa kumpa talaka na hakuna wa kukulaumu.
 
Back
Top Bottom