Kamusi ya majina ya samaki na picha zao

Kamusi ya majina ya samaki na picha zao

Ngorongoro ni samaki wa aina gani? Wanapatikana wapi? Je unaweza kushiriki nasi picha yake?
Ngorongoro ni aina ya samaki mithili ya kambale ila wao ni wadogo. Miili yao ina utelezi huku wakiwa na miiba yenye ncha kali, ni weusi na wana madoadoa. Wanapatikana kwenye mito inayoingia Bwawa kubwa la Nyumba ya Mungu lililoko mkoani Kilimanjaro/Manyara. Wana mafuta mengi sana na huliwa kwa uangalifu sana kutokana miiba yao
 
Ngorongoro ni aina ya samaki mithili ya kambale ila wao ni wadogo. Miili yao ina utelezi huku wakiwa na miiba yenye ncha kali, ni weusi na wana madoadoa. Wanapatikana kwenye mito inayoingia Bwawa kubwa la Nyumba ya Mungu lililoko mkoani Kilimanjaro/Manyara. Wana mafuta mengi sana na huliwa kwa uangalifu sana kutokana miiba yao
Naomba picha, nimejaribu kutafuta mtandaoni sijapata
 
Naomba picha, nimejaribu kutafuta mtandaoni sijapata
1785393060471.jpeg

Je ulikuwa unamaanisha huyu?
 
Back
Top Bottom