Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,783
- Thread starter
- #61
Ukipata picha ya kikande mkubwa itakuwa vyema sana
View attachment 2073605View attachment 2073606
Huyu anaitwa Kikande, wajuzi wa samaki humuita sharifu.
Samaki huyu ana ngozi ngumu na huwezi kumla hadi umchune ngozi yake.
Samaki huyu ni mtamu sana na ni mnofu mtupu