Sax JF-Expert Member Joined Aug 16, 2015 Posts 4,122 Reaction score 7,656 Feb 14, 2025 #21 wahindi wanapitia magumu sana kwa hiki kizazi cha kisasa ule ubepari naona unaelekea tamati.
castieltsar JF-Expert Member Joined Jun 3, 2016 Posts 1,793 Reaction score 3,212 Feb 14, 2025 #22 safi kabisa raha ya hii dunia unapata unachostahili nakuombea kiongozi chakwako kije mapema ....
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,494 Reaction score 55,144 Feb 14, 2025 #23 Kuna kampuni na mimi nilienda.. Hii ni kampuni ABC yaani wale mbwa wanajua kukuzingatia chakula tuu manina zaoooo. Yaani mda wa kula wapo radhi waje kukubeba kabisa ukale
Kuna kampuni na mimi nilienda.. Hii ni kampuni ABC yaani wale mbwa wanajua kukuzingatia chakula tuu manina zaoooo. Yaani mda wa kula wapo radhi waje kukubeba kabisa ukale
JOHNGERVAS JF-Expert Member Joined Mar 22, 2016 Posts 1,450 Reaction score 2,498 Feb 14, 2025 #24 Mimi nipo tayari hata wakate nusu mshahara kama service fee na hata bila mkataba nafanya t wala sinashida. Maisha ya huku mtaani unatamani hata upate chance ya kujitolea tu kwenye taasisi yoyote ili angalu nawe asubuhi utoke huko ndani
Mimi nipo tayari hata wakate nusu mshahara kama service fee na hata bila mkataba nafanya t wala sinashida. Maisha ya huku mtaani unatamani hata upate chance ya kujitolea tu kwenye taasisi yoyote ili angalu nawe asubuhi utoke huko ndani
jhope Senior Member Joined Nov 5, 2015 Posts 150 Reaction score 276 Feb 14, 2025 #25 Mbona husemi ni kampuni gani ama unawaogopa???
Brain Kingdom JF-Expert Member Joined Nov 10, 2022 Posts 7,004 Reaction score 14,551 Feb 14, 2025 #26 🤣🤣🤣