NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 1,001
- Thread starter
- #21
Tunazungumzia hapa Dar maana nasikia wanamatawi yao hawa SBT,
Hawa SBT wapo eneo gani Dar hii wajemeni?
Habari wa kuu, elimu ni bora kabla ya kutwendwa maana majuto huwa siku zote ni mjukuu,
Kuna kampuni mmoja nilituma pesa inaitwa tredecarview Gari yenyewe sikufanikiwa na uipata pesa nimezungushwa sana na hawa jamaa mpaka kufanikisha kupata pesa yangu ilichukua muda..
Sasa tunaomba kwa wengine wanaojua makampuni laghai, ambao hawapo kibiashara wayaanike hapa ili iwe faida kwa wana jf..
Nawasilisha...
Sasa kati ya SBT na Be Forward wanatofauti gani, yupi ni bora zaidi na kwanini?
Embu toeni ufafanuzi kuhusu PAYTRADE, kwanini alipwe fedha yeye wakati sio wakala wa kuuza magari kutoka Japan?
PCCB/TAKUKURU njooni JF.
Kuna watu wanakula rushwa ku boost makampuni humu.
Hembu tupeni na sie channell za mgao wa pesa
Aisee kumbe mchakato ni mrefu,ndio maana wameamua kulishia hadi humu.uyu jamaa anapiga promo kama sbt wanavyopiga promo kutwa kupigia watu kuwabembeleza wanunue magari kwao.