Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,911
Nimeshudia mara nyingi tu kwenye Ukristu kwa wazungu mwanaume anarithisishwa Kampuni na Baba Mkwe wake na anainedeleza vizazi hadi vizazi, tanzagiza utaambiwa usihenge ukweni, mara kiwanja cha mwanamke usijenge, tanzagiza hata maana ya ndoa haieleweki ni mila mbele tu kwanza.
Kwenye ukristu unakuta mwanaume kaoa mtoto ambaye baba yake ana kampuni, baba kama hana mtoto wa kiume anamrithisha mume wa binti yake kampuni, hiyo ndiyo ndoa ya kikristu full trust …
Kwenye ukristu unakuta mwanaume kaoa mtoto ambaye baba yake ana kampuni, baba kama hana mtoto wa kiume anamrithisha mume wa binti yake kampuni, hiyo ndiyo ndoa ya kikristu full trust …