Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,210
- 27,270
Hakuna upigaji acha kukaririWakati wa JPM, kazi ilipigwa kwelikweli na hii hii kampuni.
Kwa ufupi Hawa wakandarasi ni wakandarasi wa kimataifa, sio wakuokota , wanefanya ujenzi nchi mbalimbali.
Kwa Sasa wameamua kua hivo ili kuendana na Serikali ya Sasa ya Samia ilojaa upigaji na kutowajibika .
Lini Samia amewah fanya angalau ziara yenye lengo la kufatilia utendaji kazi ??.( Ukinielewa hapo, Utajijua wee ni Mpumbavu namba Moja).
Alafu pia hao wanaweza pia kukosea Kama wanavyokosea wengine, sio malaika hao.