King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 44,140
- 2,000
Wamekata lines maeneo ya jangwani hvyo wamesababisha maeneo mengi ya dsm kukosa umeme!!
Source:Tanesco
Source:Tanesco
Vodacom siku hizi wanakata line za umeme?Wamekata lines maeneo ya jangwani hvyo wamesababisha maeneo mengi ya dsm kukosa umeme!!
Source:Tanesco
Vodacom siku hizi wanakata line za umeme?
Mkuu eleza kama mnara wao umeangukia miundombinu ya umeme.
Wote ni watoto wa baba mmoja rostam so usishangae
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us