Kampuni ya Six Telecom yafungiwa kwa kuisababishia Serikali hasara ya Sh. Bilioni 8

Huyu mkurugenzi wao aliyekuwa anabwatuka leo Mr. Shamte si ndio yule kwa kushirikiana na mathread(waziri wa kupiga deki) ndio walifanikisha message ya matusi ya kumtukana dr. Slaa kwenye uchaguzi wa 2010 iliyotumwa kwa watu wengi jamaa mzuri katika it. Leo kanyea pua acha waisome number ndo faida ya kustukiza na imani hata waziri mathread kaona itv kwani hata simu zao zilichukuliwa. .heko Magufuri japo cijakupigia kura heko karungula yule mwansheria wa serikali aliyekut anabishana na mtuhumiwa
 
Wanaume kwenye kuikosesha Serikali mapato sio!!?? Muulize yuko wapi jioni baada ya kuwa nyumbani na mkewe na watoto!? Shuwaini Kama wewe huwa naomba nikutane nao kwenye kazi zangu halafu uniletee hiyo jeuri.
Uko sahihi mkuu..ila hujatuelezea kazi zako ndo zipi? Kupiga watu Roba au Robbery?
 
Na ma-public school head wakiwa kama yule jamaa kiukwel wanapoenda kukaguliwa GARI za maji ya kuwasha muhimu. Jamaa aliwatia ngeli pale wale maafisa wengine walipoteana. Aliwaambia mbona wamekuja bila taarifa mate yalikuwa hayapiti kooni. Hii mambo acha inaitwaga
 
Naona Hana uelewa wa Penal Code.

Hajui hata kumzuia afisa was TANESCO kusoma meter, selo inakuhusu!
Sembuse wao walioiba zaidi ya B 8!
 
Jamaa ana confidence mpaka maafisa wa serikali wakagwaya isipokuwa yule mmoja! Mimi naona alikuwa anatetea upande wake ... Sometimes, hupaswi kuwanyenyekea maafisa wa serikali ...

Wakikuona boya watakutesa sana, isitoshe walienda na waandishi wa kuuzia sura. Hamjawahi kukutanana nao hawa! Mimi jamaa nimemkubali, huo ndo uanaume. Mwanaume gani anapenda kudharilika mbele ya mke/watoto kwenye Tv?!!
Hao Maafisa wa Serikal walinywea kwa kuwa Lugha iliyokuwa ikutumika hapo ya Kingledha sio mchezo tena kuongea kwa kubishana mbele ya media. Ingekuwa Kuswahili ungesikilizia biti la hao Maofisa
 
Huyu jamaa ni kutoka ile familia ya PM wa kwanza Zanzibar kutoka Hizbu Mohd Shamte!
 
Kwa namna ya wanasheria wa taasisi za serikali wasivyokuwa makini mara nyingi hunipa wasiwasi wa kodi ya wananchi kuja kutumika kulipa fidia.

Kilichotokea leo, sidhani kama ni namna nzuri ya kufanya kwa makampuni yanayofanya biashara,tena ya mawasiliano.

Hii move isiishie leo tu,tunahitaji majibu na hizo zaidi ya 8 bn kama hasara kwa serikali zilipwe kweli msifanye siasa katika biashara.
 
Dah!! Nadhani kuna jamaa tu wengi ungeweza kuwa inbox jalafu wao wangetengeneza uzi mziri utokanao na yaarifa yako. Sitashangaa baadaye kama utajiuliza umefunguaje au saa ngapi huu uzi.
 
Kwa namna ya wanasheria wa taasisi za serikali wasivyokuwa makini mara nyingi hunipa wasiwasi wa kodi ya wananchi kuja kutumika kulipa fidia. Kilichotokea leo,si dhani kama ni namna nzuri ya kufanya kwa makampuni yanayofanya biashara,tena ya mawasiliano. Hii move isiishie leo tu,tunahitaji majibu na hizo zaidi ya 8 bn kama hasara kwa serikali zilipwe kweli msifanye siasa katika biashara.
Unahitaji kujadiliana na mwizi???!! Unahitaji kumbembeleza mwizi akurudishie alichokuibia. Pay what is due you will have no problem.
 
Ujue mtujeze sie Wa makazin hatjue tumesikia jujuuu tu mana ndo tunarud wamefanyaje hao Na ilikuwaje
 
Ni Telecom and Intenet services provider mkuu (Voice & Data).
Labda tufanye mlinganyo kwanza, hapa Tz ni makampuni gani makubwa ya hii shughuli? Ajuaye atujuze kwanza! Nimemuona huyo jamaa akibishana na hao tcra officers, ana ubavu fulani!
 
Hii kampuni itakuwa kuna kigogo anahusika sana ktk ustawi wake maana.jamaa alijiamini huyo balaa
 
Back
Top Bottom