Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,939
- 4,705
Kweli wakumbuke wanamitaji midogo na huu utaratibu mbona watu wengi tu umewatoa na mpaka kufikia kuwa na uwezo wa kuagiza kontena peke yako!
.
Ila kimeeleweka kumbe wengi bado mitaji ipo chini alafu tunataka ulimbukeni
Unakuta mtu ana million 20 nae anataka kuruka kwenda kufunga mzigo China.. Sasa hapo ukipiga nauli, accomodation si bora hiyo pesa aiongezee hapo kwenye mtaji.. Alichokuwa anakifanya Silent Ocean hakina tofauti na ambacho wao sasahivi wanatakiwa kukifanya, yeye alikuwa anawakusanyia mizigo anajaza kontena then anaituma na sio kwamba alikuwa anatuma hizo CBM 5 kama zilivyo.. Kamfano maduka ya Stationeries yamefuatana pale mtaa wa Uhuru, wajichange wampe mmoja awe ndiye anaenda huko na sio kila mmoja kwenda kufunga mzigo kivyake..