Kampuni ya Silent Ocean China hawapokei tena lose cargo, wanapokea makontena tu

ndo maana nliwawatsap tukachat vizuri ilipofika wakati wa kujua nna mzigo gani, kuwatajia ni loose cargo wakapotea kabisa
 
Asante Kipilipili, nlichokajee? Kumbe fix tu hizi.

ndo hivyo fix tu.
walioniPM wanataka mawasiliano ya THE LAND na SILENT OCEAN ,haya hapa. sijajibu PM zenu nimeweka hapa ili iwe faida kwa wengine
 

Attachments

  • 1449497507918.jpg
    1449497507918.jpg
    49.2 KB · Views: 278
  • 1449497540387.jpg
    1449497540387.jpg
    34 KB · Views: 237
Baada ya Majungu Mengi sana yasio kwisha mpaka sasa hauna kontena la hwa jamaa lili lo potea au kupitishwa mlango wa nyuma .
watu majungu na fitina tu. walo torosha makontena ni wale wasio tumia kampuni ya hawa jamaa..
 
Watanzania,

Baada ya sakata la makontena kupamba moto leo hii nipo China nimepeleka mzigo wangu kwenye kampuni ya usafirishaji mizigo ya Silent Ocean iliyopo Guangzhou China.

Wamesema hawapokei lose cargo kwa sasa wanapokea makontena wameniambia kama unaweza kujaza kontena tuletee tutakusafirishia mpaka Dar es Salaam.

Hili ni pigo kubwa kwa wafanya biashara amabao hawana uwezo wa kujaza kontena zima nimerudi na mzigo wangu hotelini sijui cha kufanya.

Wafanya biashara wadogo wadogo tutafanyaje ili mizigo yetu ya lose cargo iweze kufika Tanzania.
Bora muache tu biashara, maana nyie wenye mitaji midogo ndo mnatuletea bidhaa kutoka China zisizokuwa na ubora kwa kisingizio cha mtaji mdogo. Nawachukia watu wanaoagiza nchini bidhaa bofubofu.
 
Bora muache tu biashara, maana nyie wenye mitaji midogo ndo mnatuletea bidhaa kutoka China zisizokuwa na ubora kwa kisingizio cha mtaji mdogo. Nawachukia watu wanaoagiza nchini bidhaa bofubofu.

Sio kweli wadogo ndio wanaoleta bidhaa feki. Mfumo mzima wa biashara TZ umezoeshwa bidhaa feki kiasi kwamba mkiletewa Quality hamnunui. Believe me, mm ni mmojawapo ambao sileti FAKE au wameipa jina la kupoozea COPY hata kidogo. Lakini nakuhakikishia, Quality nauza taratibu sana na kwa baadhi ya wastaarabu fulani wanaoweza kutofautisha FAKE na QUALITY na wanaoelewa wakieleweshwa. Vinginevyo wanunuzi ndio wanaolazimisha watu walete hizo fake kwa kukataa kununua Quality. Nina ushahidi mzuri wa mpaka maduka yenye majina makubwa unayoyashadadia, baada ya watu fulani kununua bidhaa zangu walikwenda wengine kugombana na hao wa maduka yenu yenye majina makubwa kwa nini walidanganywa na kuuziwa fake kwa jina la Quality.
 
Mkuu hamna mtu anayekwepa kulipa kodi mimi naelezea tatizo liliopo kwa wale watu wenye mitaji midogo hatuwezi kujaza kontena tutafanyaje.

Peleka mzigo wako kwa Africa Salihiya Shipping Company, tafuta address yao katika mtandao. Unaweza kutuma mzigo hadi Msa kisha ukaufuata mwenyewe au wakakuleteya hadi Dar.

Kazi kwako.
 
Unafiki unafiki unafiki unafiki mtupu..... sio kwa mleta mada bali wachangiaji
 
Silent Ocean walikuwa wakifanya hivo sidhsni kila mtu alikuw akipewa bill of lading yake. Kama sheria inawataka kufanya hivo kwa mizigo ya Tanzania basi handling cost inaongezeka kwao. Nimeshawahi kusafirisha shared container ilibidi tufungue separate documents kwa kila mtu alokuwa na mzigo kwenye container lilipofika bandarini. Ilikuwa time consuming japo tulitekeleza lakini ni moja ya njia ya kudhibiti upotevu. Mshirkiane huko china kujaza container under one name na mfanye tulivyofanya ili kila mmoja wenu alipe haki yake. Bado inawezekana.
 
Kuna kampuni mpya hapo guangzhou ya wasomali inaitwa MOKA labda ujaribu nao,sijui umefikia wapi lakini kama upo mitaa ya Xiaobei ukiwauliza wale wenyeji wauza kilo watakupa info.Kwakweli Silent ocean ilikuwa ni kampuni nzuri sana hasa kwenye kitengo cha huduma kwa wateja,wafanyakazi wachamgamfu a wakarimu kuanzia wa chini kabisa hadi boss bwana salah,ila ndo ivo tena
 
labda mgeungana mkamuone magufuli awalegezee kidogo,au mnasemaje jamani?
 
Acha mambo zako ww ana mazuri yapi? ambayo amewafanyia watz yaan kubeba CBM 5 za mtu mmoja na kuiba mabilion ya watz ndio. unaanza kujingiza humu jamiiforum kwa ajili ya kuhadaa watu ww subil msumali uingie na tutatoa ushahidi mpaka mtajuta.

kasulukwetu chukii juu hii kampuni ilikuaa kubwa sanaa mpaka leo naimani maovu yao wangekamatwa.ila inaonekana sio kwelii je wao wanapembe gani mpaka leo magufulii hajawatokee

jee kuna mtu hapa alikuaa anjuaaa bakhresa anaweza kufanya yale

ww kama una data zitoe zisaidie kuwa kamata hii kampunii

chukii juu ya kampuni hii hazijaanza leoo watu wengii wanasubiri linii watazukiwaa ss tafakarii bilaa chukii kukuuongozaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom