Tanzania Tech
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 355
- 276
Habari wana JF kama wewe ni mfuatiliaji wa teknolojia pamoja na tovuti yetu ya Tanzania Tech lazima utakuwa unajua kuwa Samsung Jana ilitoa simu mpya ya Samsung Galaxy Note 8. Na kukusogezea karibu leo Tanzania Tech tunakuletea sifa za simu hiyo mpya iliyotoka hivi karibuni...
- Ukubwa wa Kioo - inch 6.3 3840x2160 chenye teknolojia ya Super AMOLED curved Infinity Display with 18.5:9 ratio
- Ukubwa wa Simu - 162.5mmx74.6mmx8.5mm
- Ulinzi - Iris scanner/fingerprint scanner
- Processor - Samsung Exynos 8895 CPU
- RAM - 6GB
- Kamera ya Nyuma - Zikombili zenye 12MP dual rear-facing camera,
- Kamera ya Mbele - 8MP front-facing camera
- Sehemu ya Kuchaji - USB-C connectivity,
- Sehemu ya Kuchomeka Headphone - 3.5mm headphone jack
- Mfumo wa Uendeshaji - Android 7.0 Nougat
- Ukubwa wa Memory ya Ndani - 64GB pia ina sehemu ya memory card (microSD expansion)
- Uwezo wa Battery - 3,300mAh battery yenye uwezo wa Fast charging, wireless charging support
- Rangi - Midnight Black, Maple Gold, Orchid Grey and Deep Sea Blue colour
- Bei 2,300,000 (Bei inaweza kubadilika kwa Tanzania)
