Tunafuraha kuwatangazia watanzania wote kwamba kampuni ya ranchi za taifa sasa imedhamiria kuwalisha watanzania nyama yenye ubora wa kimataifa na salama kwa afya na matumizi kwa binadamu.
Karibu katika duka letu lililopo mtaa wa nkurumah au tunaweza kukuletea mahali ulipo endapo utanunua kilo nyingi kuanzia 5kg kwa kuzingatia umbali uliopo.
Vilevile unaweza kutupata katika ofisi zetu zilizopo posta mpya mtaa wa azikiwe jengo la Mavuno (MAVUNO HOUSE) ghorofa ya pili.
Contacts:
0655123911
0766123911
0714281111
0753281111
Karibu katika duka letu lililopo mtaa wa nkurumah au tunaweza kukuletea mahali ulipo endapo utanunua kilo nyingi kuanzia 5kg kwa kuzingatia umbali uliopo.
Vilevile unaweza kutupata katika ofisi zetu zilizopo posta mpya mtaa wa azikiwe jengo la Mavuno (MAVUNO HOUSE) ghorofa ya pili.
Contacts:
0655123911
0766123911
0714281111
0753281111