Kampuni ya Airtel kujiondoa Tanzania

Kampuni ya Airtel kujiondoa Tanzania

Status
Not open for further replies.
asa
Haikwepi ila mfano kampuni mpya inapewa tax holiday (corporate tax)....ile faida ya mwaka huwa hawalipi.....wanacholipa ni kodi zingine kutoka kwenye matumizi kawaida au mishahara na kodi za TCRA na leseni zake......lakini ile 30% ya faida ya mwaka huwa hawalipi kwa 5yrs kwanza......akifika mwaka 4 anauza.....anaekuja nae anapiga tena 5...akifika mwaka 4 anaweza kujiuzia kiujanja ujanja mchezo ukawa ndio hivyo!!! Pia kuna kodi ya kuuuziana inait capital gain huwa hawalipi wakiuziana! Lengo kuvutia wawekezaji......
asante kwa maelezo.. labda tu ningejiuliza mwenyewe then nijijibu, hii sera ya tax holiday ina apply kwa mataifa yote at the same time?? i mean km tax holiday ina expire tanzania 2017, vipi kuhusu ghana?? kwani hii kampuni iliingia mataifa tofauti tofauti kwa wakati mmoja??
nadhani exit ya airtel kwa africa km jarida linavyoonesha ina uhusiano mdogo sana na ukwepaji kodi.
 
Kampuni ya Bharti Airtel ina mpango wa kujiondoa katika nchi 15 za kiafrika, Ikiwamo Tanzania , baada ya kutofanya vizuri katika robo ya mwisho ya mwaka jana

Chanzo - Mwananchi

=======
Kutoka vyanzo vingine:
=========

Bharti Airtel, the mother company of Airtel Ghana, has announced that it will be exiting 14 African countries including Ghana within a year.

The affected countries include Ghana, Nigeria, Congo, Chad, Gabon, Kenya, Madagascar, Malawi, Niger, Rwanda, Seychelles, Tanzania, Uganda and Zambia.

Source: Airtel to exit Ghana this year

=========

Airtel Considering Exits, Stake Sales at Some Africa Operations

Bharti Airtel Ltd., India’s largest mobile-phone operator, is considering mergers or stake sales at some of its Africa operations as it looks to cut debt and make its biggest overseas acquisition profitable.

The moves would pare the size of operations in the continent and could be completed within a year, Chairman Sunil Bharti Mittal said in an interview with BloombergQuint at the World Economic Forum in Davos. Some of Bharti’s businesses in 15 African nations would be affected, he said.

Faced with an escalating price war in its home market, Bharti is looking for ways to pare net debt equivalent to about $12 billion as of September. The company has sold its Sierra Leone and Burkina Faso operations, as well as some of its tower businesses, as it reorganizes assets it bought in 2010 in a $9 billion deal with Kuwait’s largest mobile-phone operator.

Bharti’s African unit lost $91 million in the quarter ended September, compared with a $170 million loss in the previous year.

As part of the debt reduction, Bharti is also considering selling a stake in Bharti Infratel Ltd., its tower unit. A committee was studying whether the sale would be a minority stake or control of the tower unit and a decision could be taken in a month, Mittal said. In October, Bharti said in a stock exchange filing that it had formed a committee to evaluate options for its 73.5 percent stake in Bharti Infratel.

Mittal’s moves come partly in response to the entry of India’s richest man Mukesh Ambani into India’s wireless telecommunications market last year. Ambani stormed into what was already one of the most brutally competitive telecom markets in the world with an offer of free voice services, forever, and free data services for limited time.

Ambani’s Jio mobile-phone service will probably force the exit of the smaller players in a market with almost a dozen operators, Mittal said in the interview. Among them is Telenor ASA, the Nordic region’s largest phone company. Bharti was among those in discussions to buy Telenor’s India business, Mittal said.

Bharti, which will announce its earnings for the quarter ended December on Jan. 24, may have been hit by India’s currency ban, Mittal said. The Nov. 8 late evening announcement by Prime Minister Narendra Modi that canceled 15.4 trillion rupees of the 17.7 trillion rupees in circulation may have an 8 percent to 10 percent impact on revenue. About 94 percent of Bharti’s India customers use prepaid phone connections and were unable to recharge their phones in the ensuing cash shortages that plagued the nation.
JPM ahirishe kununua madege uwape TTCL Madolari wainunue Airtel. Wasilete janja ya nyani kubadili majina wanasingizia kuuza hisa ili kukwepa kodi
 
Kila nchi ina policy zake tofauti....kuvutia wawekezaji....ila airtel waliingia africa kwa wakati mmoja maana walinunua kampuni zote toka ZAIN! Ila inavyoonekana kw sasa hakuna mnunuzi mmoja kwa nchi zote 20.....wanauza vipande vipande nchi moja au 2 au 3....mfano kuna mtu anataka airtel tz,uganda,kenya,rwanda na Zambia plus malawi....ili atengeneze east andcentral africa.......wengine wanazitaka zile nchi za kifaransa tu.....ziko kaskazini , magharibi kule.....ndio hivyo!! Mfano MTN akipata hizi nchi za ECA atapanua zaidi wigo wake wa africa! Au Tigo anunue uganda kenya malawi Zambia..............
asa

asante kwa maelezo.. labda tu ningejiuliza mwenyewe then nijijibu, hii sera ya tax holiday ina apply kwa mataifa yote at the same time?? i mean km tax holiday ina expire tanzania 2017, vipi kuhusu ghana?? kwani hii kampuni iliingia mataifa tofauti tofauti kwa wakati mmoja??
nadhani exit ya airtel kwa africa km jarida linavyoonesha ina uhusiano mdogo sana na ukwepaji kodi.
 
Wale walio tumia Bilioni nane kununua Meli mbovu walilipa kodi yake??Au hilo siyo Deal??Au ni kati ya yale Makaburi??
hili hakuna ambae ataweza kulizungumzia kamwe.
 
Hiv ndivyo wanasisiem wanavyojifariji baada ya maji kuzid unga. Time will tell ilikuwa ITV, KAIRUKI HOSPITAL, LEO AIRTEL KESHO SIJUI NANI?
''WALIZOEA MADILI, WAPIGA DILI HAWANA NAFASI KTK NCHI HII"
Uhakiki ni dili la kuminya watu haki, watafeli sana. Chozi la maskini huwa haliend bure bure. Baada ya kutafuna fedha, uhakiki umekuwa chaka la kujificha.
HELSB 15%. VIWANDA BADO HAVIJAJENGWA TU TUOKOE TSH YETU KUSHUKA AU NDIYO WATAJENGA VIWANDA VYA DOLA?
What is this !?........damn !
 
Wameiba sana wakishirikiana na watumishi wasio waaminifu wa TTCL kuihujumu nchi ktk sector ya mawasiliano mpaka wakajitoa TTCL na kujitegemea kwa kuanzisha Ofisi zao.

Eti Leo hii wamefanya vibaya robo ya mwisho mwaka 2016 then wanaondoka that's very wrong statement sema wameshikwa pabaya na wanatakiwa kuweka kila kitu ktk line kama sheria zinavyotaka na wao hawakuzoea.

Mwisho wa shamba la Bibi Tz umefika
Ukisoma hiyo habari ni kwamba wanafunga operation zao nchi 15 Tanzania ikiwepo so sio suala la kubanwa.
 
Swali la msingi kampuni inapobadilisha jina hapo kodi inakwepwaje? Na kama pana 'loop hole' ya namna hiyo vyombo vya serikali vilifanya nini? Vimefanya nini? Na vitafanya nini ilikuziba 'uzembe' huu??
 
Celtel - Zain - Airtel - what next _______?? Farutel or ..?

Wee huo ni mchezo wa kibiashara, ili kuuza kampuni waseme inapata hasara, soon watabadili jina, ila wateja wao watabaki wale wale, jua kuna ukwepaji mkubwa wa kodi kwa kutangaza kampuni inafilisika, ili wauze kwa bei cheeee wakifcha mauzo halisi, kisha wanaendelea na business, hili Airtel wanafanya sana, ndio mchezo wao kila baada ya miaka kama 7 hv wanabadili jina tu..
tatizo ni sheria mbovu ambazo zinawapa nafasi ya kuifanya tz kama uwanja wa majaribio kwa biashara zao;huu ni ukwepaji kodi wa mchana kweupe kwa hisani ya wzee wa 10% na wabunge wa ndiyooo '' ahsante imepita hoja'' (in makinda voice)
 
Na mwisho wa Tanzania kuitwa shamba la bibi umefika
mwisho hauwezi fika kwa sheria zilelezile; kwani wanakwepa bila kujua kuwa sheria zetu zinawapa nafasi za kukwepa?, na ukienda mahakamani sheria za ndiyo mzee watatushinda tu.
MUHIMU ni kubadilisha sheria za kipuuzi ua mabadiliko/marekebisho ya katiba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom