Kampuni ya Airtel kujiondoa Tanzania

Kampuni ya Airtel kujiondoa Tanzania

Status
Not open for further replies.
Waache ujinga nimejiunga bando la mwezi airtel wasinizingue hao
 
Comments kama hizi ndio zinasababisha watanzania tuonekane hatupendi kusoma, umeambiwa ni nchi 15 Africa. Je ccm inatawala nchi zote hizo?
NAFIKIRI JU.HA HUJAELEWA NILICHOKIANDIKA.
KWANN TZ IWEMO? Kwann isiwe nchi nyingine na siyo tz?
Mfano. Ikitokea CRDB nao wanapunguza matawi yake ktk nchi 20 za Kiafrika kwa hiyo na TZ itakuwemo?
Tatizo ufikirii IQ ndogo sana. Inabid u boost.
TATIZO VYEO VITAWAUA NYIE, MNAFIKIRI MTATEULIWA? Teh teh teh mtasuburi sana mpaka YESU anarudi na vyeo hampati. Mtaishia kufagia na kusafisha vyoo vya Lumumba
 
Hawa jamaa ni wajanja sana wanataka wakwepe kodi kama walivyofanya hapo nyuma.saizi in kukomaa nao.
 
Awa jamaa kwa mjini naona kama wanazidi kupoteza wateja tuuu
 
kabla ya celtel ilikuwa nini? naomba mnikumbushe ..!
 
Airtel money imewaua.watu wanakopa....kisha wanavunja laini
 
Bharti mbona mpango huo wa siku nyingi sana tangu 2013 kilichochelewesha ni makubaliano na mwanahisa mwenza ambayo ni serikali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom