Watu mna roho mbaya sanaWawapige chini tu wote
Kuna uhusiano mkubwa kati ya ujinga, roho mbaya na uchawi!
CCM mkisikia watu 400 wanaondolewa kazini mnafurahiiiii
Mkuu siyo roho mbaya tulipofikia ni pabaya ukiona hivyo unga umezidi maji biashara ni mahesabu wewe unataka wawalipe nini kama mazingira yao hayaruhusu?Watu mna roho mbaya sana
Wapunguze wasipunguze haituhusu sie tunachotaka tulipwe stahiki zetu kama nchi
Kwa taarifa rasmi zilizopo ni kuwa wanaondoa wafanyakazi wote isipokuwa wale wa kutoa maji underground na kitengo cha umeme
Kaazi kwelikweli!!
Hiyo ni kawaida mbona mwaka jana walipunguza wafanyakazi kama 600 kwenye migodi yao yote ya hapa tanzania,na sababu kuu ilikua ni kupanda kwa gharama za uzalishaji na pia bei ya dhahabu kushuka..Kampuni ya Acacia iliyoenda kinyume na Makubaliano kuhusu mchanga wa Madini ipo kwenye mkakati wa kupunguza wafanyakazi hasa kwenye sekta ya ulinzi. Inadaiwa watu 400 wataondolewa.
Chanzo: The Citizens Tanzania
View attachment 522209
Halafu ndo hao wanaambiwa wasubiri hadi wafikishe miaka 55 ndo wapewe fedha zao walizoweka NSSF. CCM wajanja sana wanajuwa hizo NSSF za marehemu 400 zitasaidia kwenye miundombinu.Hao wafanyakazi wapimwe kwanza kama hawaja athirika na sumu za migodini,maana ni kawaida ya acacia/barick wakishakuona mapafu yameanza kuathirika tu wanakupunguza kazi,vijana wengi wamekufa baada ya kuachishwa kazi.