Web yenu nyie wenyewe ipo down sasa mna host nini? au maandaziMkuu tunahost website www.tryben.co tz piga simu 0767826162
Ha ha et maandaziWeb yenu nyie wenyewe ipo down sasa mna host nini? au maandazi
85k unahost nn?? Muwe mnauliza kwanzadah nimepigwa juzi juzi tu 85k humuhumu
MKUU NI KAMA KIASI GANINenda BlueHost.com, 1and1.com na / WpEngine.com ....Huduma zao ziko chini sana
$2.95/Mwezi(Domain ni bure)MKUU NI KAMA KIASI GANI
MBONA NIMEJARIBU ZIMEKUJA HELA KIBAO KAMA $245$2.95/Mwezi(Domain ni bure)
hela ni nyingi hata ikizipunguza optionHata mimi nimeona gharama zao kubwa sana
Aliileta mkuu Kang humuMBONA NIMEJARIBU ZIMEKUJA HELA KIBAO KAMA $245
Karibu, tunafanya web hosting kwa Tsh 75,000 (including domain)Nahitaji Kujua Kampuni Inayofanya Hosting Au Mtu Anaefanya Hosting...naomba Tuchekiane...Au unaweza Acha Maelezo Hapa Hapa Na Kila Kitu Ili Iwasaidie Pia Na Wengine Wanaotafuta Hosting Kwaajili Ya Webs zao.
mkuu iko vizuri mno asante sana,ubarikiwe mkuuAliileta mkuu Kang humu
No Support Linux Hosting - cPanel Powered Linux Web Hosting
Ni dola 1 kwa mwezi kwa website 1, domain juu yako mwenyewe.
Ni nzuri nimeitest kwa hio bei ambayo ni kama 30,000 kwa mwaka sio mbaya. Unapata unacholipia