Nani amekwambia kampuni ya kifamilia ya Chadema itachukua nchi? Kwa ukomavu gani walionao? Bado hakijatokea chama cha upinzani cha kuweza kuiongoza hii nchi. Najua ni ngumu kumeza lakini ndio ukweli.misaaada ya mr ombaomba mmejitahidi kuitumia, manake mmezoea kuiba nyie. Hapa itakuwa baada ya cdm kuwabana
Ziara ya JK China imewachanganya sana CDM na kambi nzima ya ukawa. Hivi Sasa kila mtu na kila mwanachama wa CDM habari ya mujini ni hiyo. Hakuna rangi mtakayo acha kuiona kwa JK mwaka huu, atawatesa sana kwa kukubalika kwake Kila nchini na kimataifa na walio wengi.
Ziara ya JK China imewachanganya sana CDM na kambi nzima ya ukawa. Hivi Sasa kila mtu na kila mwanachama wa CDM habari ya mujini ni hiyo. Hakuna rangi mtakayo acha kuiona kwa JK mwaka huu, atawatesa sana kwa kukubalika kwake Kila nchini na kimataifa na walio wengi.
Nyerere miaka 24, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, jumla miaka 44.
Walipeleka maji safi vijiji vipi na kwa mpango upi?
Hii ya Kikwete ya mwaka huu tu:
Serikali imetenga zaidi ya bilioni 270 kwa ajili ya miradi ya Maji vijijini kwa kipindi cha mwaka 2014/2015 chini ya mpango wa utekelezaji matokeo makubwa sasa ambapo vijiji 1,239 vitanufaika na huduma hiyo.
Source: BILION 236 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI VIJIJINI | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today
ukiona mtu anawakubali ccm juwa ni tahira msitarabu 😡Unawaonea tu CCM! kama serikali yao imeshindwa kununua madawati na kujenga maabara mashuleni wataweza kuanzisha na kumiliki kampuni ya kutengeneza kondom?
Acha unafiki ww ccm hawana uwezo wa kununua chopa kama CHADEMA mpaka wahongwe na wachina .CCM inauwezo wa kuleta chopa aina yoyote iliyopo duniani Kumbuka hilo.
ccm hawana uwezo wa kununua chopa kama CHADEMA ww ifike au isifike haikuhusuView attachment 195805
Hivi hii chopa ilishafika Tanzania?
ccm hawana uwezo wa kununua chopa kama CHADEMA ww ifike au isifike haikuhusu
Acha unafiki ww ccm hawana uwezo wa kununua chopa kama CHADEMA mpaka wahongwe na wachina .
Ndio maana tunahitaji mabadiliko hao wote ulio wataja ni ccm, na inadhirisha nijnsi gani chama kimeshindwa kutekeleza wajibu wake,hivyo tushirikiane kutafuta fikra mpya.
Kikwete janga la taifa
Khaa wewe una akili kama za kuku. Hiyo CDM kwa miaka 20 imeshindwa hata kujenga ofisi moja. Mabilion ya ruzuku inayopokea kutoka kwenye kodi zetu yameishia kwenye kukopeshana na kujilipa madeni. Usiwe mjinga kusubiri ufanyiwe kila kitu na serikali. Chapa kazi mwanangu unazeeka sasaNdio maana tunahitaji mabadiliko hao wote ulio wataja ni ccm, na inadhirisha nijnsi gani chama kimeshindwa kutekeleza wajibu wake,hivyo tushirikiane kutafuta fikra mpya.
Khaa wewe una akili kama
za kuku. Hiyo CDM kwa miaka 20 imeshindwa hata kujenga ofisi moja.
Mabilion ya ruzuku inayopokea kutoka kwenye kodi zetu yameishia kwenye
kukopeshana na kujilipa madeni. Usiwe mjinga kusubiri ufanyiwe kila kitu
na serikali. Chapa kazi mwanangu unazeeka sasa
ccm mmezoea kuhongwa na wachina tuuSasa wewe hizi za CCM zina kuhusu nini?
acha kupaniki kumbe ukweli unauma tulia sindano ikuingie mpuuzi weweKahongwe na wewe kama ni rahisi, unangoja nini?