Kampuni gani nzuri ya mabasi ya kwenda sehemu hizi?

Akitokea wa Dar - Lushoto tujulishane. Huku kuna Shambalai, Bembea, Vuga line, nk. Haya ndiyo First Class kwa njia ya huku.

Mengine yanajikongoja.
 
Kwa moja kwa moja Panda Majinja utapitia Manyoni ,Tabora to Katavi
Kwa njia Sumbawanga Ila utalala njiani panda Majinja ama New force
 
Back
Top Bottom