Hayo mambo hayakwepeki unapoteza muda tu rais wa ccm ni ccm anafanya ziara ya serikali lkn hawezi kukisahau chama. Hayo unayotaka haiwezekani mwisho wakr utasema asiingie ikulu na shati la ccm au asiingie na mlinzi wa serikali ndani ya mikutano ya ccm. Haiwezekani.Rais ni mwenyekiti wa ccm?? Kumbe march alikiwa tayari mwenyekiti wa ccm??Haaahhahaaa
afu hivi kumbe ile mikutano huwa anaenda kma mwenyekiti wa chama sio rais??
Kwahyo kwa maneno marahisi mwenyekiti wa ccm ni sawa kufanya siasa ila wa cuf au act ni kosa?? Haahaaaa ccm youths get a life and improve ur IQ coz ur so annoying with ur useless ideas and motions
Mikutano yake sio ya ccm wala maandamano kama wanayotaka wenyeviti wa vyama vingine watekeleze ukuta kata funua n.k