Kampeni za Mitandaoni Faini Tsh Million 5

Kampeni za Mitandaoni Faini Tsh Million 5

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
782
Reaction score
1,831
“Ukitumia mitandao vibaya sheria ipo na mamlaka na vyombo vipo vitakupata, sasa wakati mwingine unaona vikampeni havina mbele wala nyuma nikisema mnasema Msigwa ametusemea maneno makali, lakini ninachosema ni kwamba vijana tutumie mitandao kwa njia za kimanufaa kwasababu ukifanya makosa tutakupata…

Sheria inakataza kutukana, sheria inakataza kuzua taharuki, sheria inakataza kudhalilisha na tumeshaanza kuona kwenye mitandao watu wanafanya makosa haya sasa naomba niwaambie vijana hakuna anayefanya makosa haya akabaki salama tutawakamata tuu…

Soma Pia: Msigwa: Mihemko imekuwa mingi, uhamasishaji wa kijinga Mitandaoni umekuwa mwingi, Vijana mjitazame


Ukifanya makosa ya mtandao haya niliyosema tukikupata iwe unajua au hujui sheria itafuata mkondo wake na ukithibitika na mahakama kwamba kweli umefanya hayo utapigwa faini ya shilingi Mil. 5 au zaidi au kifungo cha miaka mitatu jela au vyote kwa pamoja.” Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano maalum alioufanya Jijini Dodoma June 11, 2025
 
Msigwa huyu ameumizwa sana na no reforms no election ile ya kuzomewa.

Hawa watu wakipata platform za kuwa kwenye power hugeuka kuwa maadui wa wananchi.

Msigwa huyu Leo Kawa mtu wa hovyo kwa sababu watanganyika wanadai nchi yao ambayo imetekwa na maharamia.

Hawa watu ndiyo adui namba Moja wa taifa hili.
 
“Ukitumia mitandao vibaya sheria ipo na mamlaka na vyombo vipo vitakupata, sasa wakati mwingine unaona vikampeni havina mbele wala nyuma nikisema mnasema Msigwa ametusemea maneno makali, lakini ninachosema ni kwamba vijana tutumie mitandao kwa njia za kimanufaa kwasababu ukifanya makosa tutakupata…

Sheria inakataza kutukana, sheria inakataza kuzua taharuki, sheria inakataza kudhalilisha na tumeshaanza kuona kwenye mitandao watu wanafanya makosa haya sasa naomba niwaambie vijana hakuna anayefanya makosa haya akabaki salama tutawakamata tuu…

Soma Pia: Msigwa: Mihemko imekuwa mingi, uhamasishaji wa kijinga Mitandaoni umekuwa mwingi, Vijana mjitazame


Ukifanya makosa ya mtandao haya niliyosema tukikupata iwe unajua au hujui sheria itafuata mkondo wake na ukithibitika na mahakama kwamba kweli umefanya hayo utapigwa faini ya shilingi Mil. 5 au zaidi au kifungo cha miaka mitatu jela au vyote kwa pamoja.” Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano maalum alioufanya Jijini Dodoma June 11, 2025
IMG-20250611-WA0007.jpg
 
😁😁😁😁😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁
 
“Ukitumia mitandao vibaya sheria ipo na mamlaka na vyombo vipo vitakupata, sasa wakati mwingine unaona vikampeni havina mbele wala nyuma nikisema mnasema Msigwa ametusemea maneno makali, lakini ninachosema ni kwamba vijana tutumie mitandao kwa njia za kimanufaa kwasababu ukifanya makosa tutakupata…

Sheria inakataza kutukana, sheria inakataza kuzua taharuki, sheria inakataza kudhalilisha na tumeshaanza kuona kwenye mitandao watu wanafanya makosa haya sasa naomba niwaambie vijana hakuna anayefanya makosa haya akabaki salama tutawakamata tuu…

Soma Pia: Msigwa: Mihemko imekuwa mingi, uhamasishaji wa kijinga Mitandaoni umekuwa mwingi, Vijana mjitazame


Ukifanya makosa ya mtandao haya niliyosema tukikupata iwe unajua au hujui sheria itafuata mkondo wake na ukithibitika na mahakama kwamba kweli umefanya hayo utapigwa faini ya shilingi Mil. 5 au zaidi au kifungo cha miaka mitatu jela au vyote kwa pamoja.” Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano maalum alioufanya Jijini Dodoma June 11, 2025

Hakuna faini wala adhabu yoyote kwa watekaji, waf*raji, au wauwaji wa wale ndugu zetu kama walivyoongelewa kinaga ubaga na askofu wa lile kanisa pendwa?
 
Ungemaliziatu kwa kusema" msemaji mkuu wa serikali ya wauaji , watekaji na wanyonyaji wa haki za msingi za wananchi wake"
 
“Ukitumia mitandao vibaya sheria ipo na mamlaka na vyombo vipo vitakupata, sasa wakati mwingine unaona vikampeni havina mbele wala nyuma nikisema mnasema Msigwa ametusemea maneno makali, lakini ninachosema ni kwamba vijana tutumie mitandao kwa njia za kimanufaa kwasababu ukifanya makosa tutakupata…

Sheria inakataza kutukana, sheria inakataza kuzua taharuki, sheria inakataza kudhalilisha na tumeshaanza kuona kwenye mitandao watu wanafanya makosa haya sasa naomba niwaambie vijana hakuna anayefanya makosa haya akabaki salama tutawakamata tuu…

Soma Pia: Msigwa: Mihemko imekuwa mingi, uhamasishaji wa kijinga Mitandaoni umekuwa mwingi, Vijana mjitazame

Ukifanya makosa ya mtandao haya niliyosema tukikupata iwe unajua au hujui sheria itafuata mkondo wake na ukithibitika na mahakama kwamba kweli umefanya hayo utapigwa faini ya shilingi Mil. 5 au zaidi au kifungo cha miaka mitatu jela au vyote kwa pamoja.” Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano maalum alioufanya Jijini Dodoma June 11, 2025
Sawa.
Ila no reform no election.
 
“Ukitumia mitandao vibaya sheria ipo na mamlaka na vyombo vipo vitakupata, sasa wakati mwingine unaona vikampeni havina mbele wala nyuma nikisema mnasema Msigwa ametusemea maneno makali, lakini ninachosema ni kwamba vijana tutumie mitandao kwa njia za kimanufaa kwasababu ukifanya makosa tutakupata…

Sheria inakataza kutukana, sheria inakataza kuzua taharuki, sheria inakataza kudhalilisha na tumeshaanza kuona kwenye mitandao watu wanafanya makosa haya sasa naomba niwaambie vijana hakuna anayefanya makosa haya akabaki salama tutawakamata tuu…

Soma Pia: Msigwa: Mihemko imekuwa mingi, uhamasishaji wa kijinga Mitandaoni umekuwa mwingi, Vijana mjitazame


Ukifanya makosa ya mtandao haya niliyosema tukikupata iwe unajua au hujui sheria itafuata mkondo wake na ukithibitika na mahakama kwamba kweli umefanya hayo utapigwa faini ya shilingi Mil. 5 au zaidi au kifungo cha miaka mitatu jela au vyote kwa pamoja.” Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano maalum alioufanya Jijini Dodoma June 11, 2025
Msigwa aulizwe wanazo jela za kutosha kuhifadhi hao watakaowakamata? Naona wameshikwa pabaya
 
Wafungwe na miaka mitano, kama mitano tena tunayoenda kumpa mama. Itasiaidia kupunguza uharamia wa mitandaoni.
 
Ukisifia na kuunda maandamano ya kusifia sio kosa ila ukipinga ni kosa 😂

Hii nchi viongozi ni kama vile wana matatizo ya akili
 
Back
Top Bottom