Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,505
Tukiwa maeneo yetu tunaambiana kuwa tusikosoe awamu hii kwa sababu ni awamu ya...
1. Dini yetu
2. Jinsia yetu
3. Kabila letu
4. Asili yetu.
Hapana. Mimi sikuwa nampinga Hayati Magufuli kwa sababu ya Dini yake. Mimi Dini yake inanihusu nini? Mimi nlishambulia matendo hatarishi.
Lakini nlisifia pale ambapo niliona panafaa. Si kweli kuwa Magufuli hakuwa na jema hata moja. Ntakuwa mnafiki kwa kiwango kikubwa sana.
Awamu yake tumeona nidhamu kwa wafanyakazi serikalini,barabara zikijengwa hata mikoa iliyokuwa imetengwa, kodi zetu zilitumika kihalali. Hakukuwa na ulazima sana wa kununua ndege. Hili sikatai.
Rais Samia Suluhu.
1. Dini yake mimi inanihusu nini?
2. Jinsia yake inanihusu nini?
Nchi imeyumba sana. Rais ni kama haelewi afanyacho. Kodi za hovyo za kinyonyaji kwenye Mafuta, Kwenye Miamala na Kadi za Simu.
Mpaka sasa nchi haieleweki. Mawaziri wa hovyo akina Mwigulu hawajielewi ni zao la uchaguzi wa Samia Suluhu.
Tumerudi kule kule kwa kuzuia mikutano na makongamano isipokuwa yale ya chama chetu.
Halafu mtu ananifuata Private ananambia kwa nini nashirikiana na makafiri kumchafua mama?nikashangaa mama yake mimi ananihusu nini? Mimi namkosoa Rais siyo mama yake.
Nitaweka Utanzania kwanza. NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO.
NITAMSIFIA PALE PANAPOHITAJIKA NA KUMKOSOA PANAPOHITAJIKA. TANZANIA IMEKUTWA NA HIZO DINI ZOTE. ILIKUWEPO KABLA.
1. Dini yetu
2. Jinsia yetu
3. Kabila letu
4. Asili yetu.
Hapana. Mimi sikuwa nampinga Hayati Magufuli kwa sababu ya Dini yake. Mimi Dini yake inanihusu nini? Mimi nlishambulia matendo hatarishi.
Lakini nlisifia pale ambapo niliona panafaa. Si kweli kuwa Magufuli hakuwa na jema hata moja. Ntakuwa mnafiki kwa kiwango kikubwa sana.
Awamu yake tumeona nidhamu kwa wafanyakazi serikalini,barabara zikijengwa hata mikoa iliyokuwa imetengwa, kodi zetu zilitumika kihalali. Hakukuwa na ulazima sana wa kununua ndege. Hili sikatai.
Rais Samia Suluhu.
1. Dini yake mimi inanihusu nini?
2. Jinsia yake inanihusu nini?
Nchi imeyumba sana. Rais ni kama haelewi afanyacho. Kodi za hovyo za kinyonyaji kwenye Mafuta, Kwenye Miamala na Kadi za Simu.
Mpaka sasa nchi haieleweki. Mawaziri wa hovyo akina Mwigulu hawajielewi ni zao la uchaguzi wa Samia Suluhu.
Tumerudi kule kule kwa kuzuia mikutano na makongamano isipokuwa yale ya chama chetu.
Halafu mtu ananifuata Private ananambia kwa nini nashirikiana na makafiri kumchafua mama?nikashangaa mama yake mimi ananihusu nini? Mimi namkosoa Rais siyo mama yake.
Nitaweka Utanzania kwanza. NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO.
NITAMSIFIA PALE PANAPOHITAJIKA NA KUMKOSOA PANAPOHITAJIKA. TANZANIA IMEKUTWA NA HIZO DINI ZOTE. ILIKUWEPO KABLA.