Wandugu tumekuwa sana tukija na data za kuwahusisha wale nugu yetu hosea anasema washika uchumi wa nchi...(MAFISADI).Wengi wametoa maoni yao ..wamejaribu kutoa mawazo yao...nafikiri imefika sasa badala ya kuakaa na kuanza kuandika tuanze kufanya vitendo kwa kuukataa ufisadi wao......BASIL MRAMBA ;ROSTAM AZIZ
wamekuwa na mali nyingi sana ambazo kwa masikitiko wengine tumeendelea kuzikimbilia na hata wengine kuhakikisha wanasionga mbele;;
Pdidy
KATAA UFISADI-- KATAA BASIL MRAMBA-- KATAA PRECISSION AIR
BASIL MRAMBA amkuwa na share nyingi sana pale precission air.najua watanzania wengine watashangaa ila kwa mtazamo wangu kama tunashabikia kufikishwa mahakamani mramba na huku Tunaendelea kupanda PRECISSION AIR;tunajiumiza vichwa wenyewe.....
PESA tunazopigia kelele ndizo zimeleta ndege za precission kuwepo pale..sasa kama ni hilo ningeomba tumsaport na kijana wetu apo chini
KATAA UFISADI-- MKATAE ROSTAM AZIZ--
KATAA KUTUMIA VODACOM
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.
Nilikuwepo.
M.M.