Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wandugu tumekuwa sana tukija na data za kuwahusisha wale nugu yetu hosea anasema washika uchumi wa nchi...(MAFISADI).Wengi wametoa maoni yao ..wamejaribu kutoa mawazo yao...nafikiri imefika sasa badala ya kuakaa na kuanza kuandika tuanze kufanya vitendo kwa kuukataa ufisadi wao......BASIL MRAMBA ;ROSTAM AZIZ
wamekuwa na mali nyingi sana ambazo kwa masikitiko wengine tumeendelea kuzikimbilia na hata wengine kuhakikisha wanasionga mbele;;
Pdidy
KATAA UFISADI-- KATAA BASIL MRAMBA-- KATAA PRECISSION AIR
BASIL MRAMBA amkuwa na share nyingi sana pale precission air.najua watanzania wengine watashangaa ila kwa mtazamo wangu kama tunashabikia kufikishwa mahakamani mramba na huku Tunaendelea kupanda PRECISSION AIR;tunajiumiza vichwa wenyewe.....
PESA tunazopigia kelele ndizo zimeleta ndege za precission kuwepo pale..sasa kama ni hilo ningeomba tumsaport na kijana wetu apo chini
KATAA UFISADI-- MKATAE ROSTAM AZIZ--
KATAA KUTUMIA VODACOM
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.
Nilikuwepo.
M.M.
Mbona hii idea ilishakuwa conceptualized by utopian socialists kama Robert Owen na wenzake na ikafeli? Waliosoma Wajamaa wa njozi A-level nafikiri wanalijua hili.
Pia hata Mahatma Gandhi alijaribu lakini haikufanya kazi vizuri.
Kwanini mnafikiri itafanya kazi leo kwenye mazingira ya utandawazi ambapo hayo mashirika yamejichanganya mno kuliko hata zamani? Unaweza kukuta humo humo VODACOM hata pesa za maskini kupitia mifuko mbalimbali zimewekwa huko. Unaweza kukuta shirika kama hilo limekopeshwa na hiyo mifuko na likifa ni pigo kwa hata maskini.
Kikawaida mashirika kama haya yanapokufa wanaopata madhara zaidi ni watu maskini maana matajiri wanakuwa wa kwanza kuhamisha pesa zao kupeleka kwingine.
Ni muhimu kusoma historia ya nyuma ili kutojiingiza kwenye makosa yale yale ambayo huko nyuma hayakusaidia.
Nawaza shule ulifaulu kivipi lasabaMbona hueleweki? Kuwa wazi? Thread inajieleza.