Kamoja kila siku...kuna madhara yoyote

Naamini kuwa huu ukumbi kuna watalamu wa kila aina na katika nyanja mbalimbali.
Mimi nina wife wangu na tuna katoto kamoja mpaka sasa kenye mwaka mmoja. Sisi lile suala la kucha kurushana roho ati kwa hofu ya kumbemenda mtoto hatukuwa nayo kabisa na mambo yalikuwa yakifanyka kama kawa. na kabla hatujapata mtoto tulikuwa unapeana dozi ya 2 hadi 3 kwa kutwa lakini kwa sasa tunagonga moja kwa kutwa...yani bila kamoja usingizi hauji kabisa...hivi hii ina madhara kiafya maana nadhani nakaribia kuwa teja na kama ni kupumzika ni zile siku ambazo shemeji/wifi yenu ankuwa ameenda angani tu vinginevyo ni dozi kwa kwenda mbele...sasa hii kitu inaweza kuniletea madhara huko mbele?
naomba msaada wenu wa kitaalamu wadau!

Sio huyo dogo ndio amewapunguzia speed?
 
muda ukifika wa viungo kulegea utaukumbuka ushauri wangu...we jifanye farasi tu sasa
ngoja tuone...unajua bora vilegee ukiwa ulivitumia kuliko kulegea kwa sababu ya umri ilihali hukufaidi wakti ukiwa na nguvu...au we unaonaje?
 
ngoja tuone...unajua bora vilegee ukiwa ulivitumia kuliko kulegea kwa sababu ya umri ilihali hukufaidi wakti ukiwa na nguvu...au we unaonaje?

sijaongelea umri mie...mwili wako sio ideal machine, jinsi joints unavyozitumikisha ndivyo zinavyochoka haraka.
 
sijaongelea umri mie...mwili wako sio ideal machine, jinsi joints unavyozitumikisha ndivyo zinavyochoka haraka.

Watu8 acha kutudanganya manake nimefikiria kwamba hata wale watu wanaofanya mazoezi ya mwili kila cku kama kukimbia, kucheza mpira watazeeka mapema? Ni uongo mtupu. Na sijui umesomea wapi hiyo shule yako.
 
mkuu siku hizi kwenye mapenzi wote ni viungo wachezeshaji kuna style mbalimbali hiyo ya kifo cha mende siku hizi inatumika kama mswaki tu then game ndio inaanza kama kukuna nazi, mikao yachura,popo, kangaroo, Yuotong, nk kwenye hizo yeye ndio anakuwa kiungo mchezeshaji kwa 70%

Naomba darasa,jf raha
 
Mi nilivyo-ona title nikadhani ni ka-bia kamoja,dah kumbe hayo mambo mengine,sijui kaka kama kuna madhara
 
hakuna shida ila kuweni makini msije mkapanga watoto kama vifaranga, yaani kumbukeni uzazi wa mpango
 
Madhara yake ni mkeo kumegwa na washkaji pale utakachoka kutoa 1x1. Uzoefu unaonyesha wanawake waliozoeshwa kukunwa kila siku ni rahisi kuwa addicted kwani hawatumii nguvu sana kama wanaume wakati wa kuduu. Yaonekana hamna majukumu mengi ya kazi na kifamilia. Utafika wakati utakuwa unasahau mpaka ukumbushwe. Hapo ndipo mkeo atahisi una small house. Hata ugonjwa huwa sugu kwa dawa iwapo utatumia sana dawa hiyo
 
Utakuja kuumbuka uzi huu. Wanawake ni watu ambao huwezi kuwasoma kwa kuwatazama machoni, kama mwanzo ulikuwa unaenda 2 mpaka 3 na sasa unaishia 1, endelea tu kubisha ushauri wa watu hapa utakuja kuwakumbuka.

MHIMU: Bao 1 linatosha kabisa endapo utadumu hapo kwa muda usiopungua dakika 45 kwa maana ya kwamba mwenzio naye atakuwa amefika kileleni mpaka mwisho, unachoweza kufanya hapa ni kuandaana kwa muda mrefu ikiwezekana ukojoe moja nje kabla hujaingia ndani na wewe uhakikishe umemkojolesha hata mara 2 kabla hamjaanza.

Tofauti na hapo we mpige hata mabao 6 lakini mara 1 au 2 kwa wiki siyo kila siku atakuchoka na utamchoka, uzoefu unaonesha hivyo.
 
Watu8 acha kutudanganya manake nimefikiria kwamba hata wale watu wanaofanya mazoezi ya mwili kila cku kama kukimbia, kucheza mpira watazeeka mapema? Ni uongo mtupu. Na sijui umesomea wapi hiyo shule yako.
janja janja primary school
 
maandalizi ndo msingi tosha wa sex... ukimwandaa vyema dk 15-30 zatosha kumfikisha kunako cha msingi ni nyote kuridhika bao2 per day at least 4 times in a week ni bora zaidi ili msije chokana mapema, nimedumu kwa mahusiano muda mrefu sasa hatuna ratiba maalum ila evarage ni kama hiyo niliyokupa. Bao moja kwa afya sI mbaya ila wanawake wanapenda kuchoshwa sana so doublelise your scores na hakikisha ushuki b4 30min
 
Back
Top Bottom