Kamishna Minja wa Magereza Matatani

Kamishna Minja wa Magereza Matatani

Na bado... wale wote waliokuwa MCHANA Wanajifanya wazalendo/waserikali lakini kumbe USIKU ni WAHUJUMU watazisoma namba.... tunawajua kwa majina na Vijitabia...... ALUTA CONTINUA!!!!!!
 
Hivi huko jeshi la magereza nako kuna ulaji???

Jeshi la magereza kina hekta 130,000 zote zinalimwa mazao mabalimabli_ kuna hekta 50,000 za miti! kuna vuwanda cha nguo kama keko, kuna miradi mikubwa ya ufugaji! kuna kiwanda cha viatu karanga wanawauzia Polish,magereza,uhamiaji,maluasili pamoja na zimamoto, Wana vuwanda vya sabuni Ruanda Mbeya, kuna tends za vyakula magerezani!Kwa ufupi ulaji upo sema sio wengi wanaoufahamu
 
Serikali ya CCM inawaonea wachaga tu kisa hawakupata kura Kilimanjaro! Haya sasa hivyo vyeo wapeni wagogo na wakwere tuone wataifikisha wapi hii nchi kama si kukesha kwenye ngoma na kucheza bao.
 
Eti "tunajua kutafuta pesa, ohoo tuna pesa" ...kumbe mijitu iko inatumbua Kodi zetu, tuliwaambia kila kitu kina mwanzo na mwisho na siku zote kuna kurise na kufall. Poleni kwa kukutana ambayo hamkuwahi kuyategemea, mjifunze wanadamu wenzenu wanaishije
 
Ona Tanganyika wamerudisha Kipindi cha zamani cha RTTD kumu JF kilichoitwa "MIKINGAMO" yaani Tuambie yuko wapi na anafanya nini. Nafikiri wakati ule Sirikali haikiwa na ubize wowowote za kufanya na kulete maendeleo kwa wadeu .


Umenikumbusha mikingamo kilikuwa kipindi muhimu sana ila kilikuja kufa maana kuna wanene nao walianza kuandamwa, nadhani Magufuli angeanzisha mikingamo yake kwa mtandao mafisadi wangejuta
 
Eti "tunajua kutafuta pesa, ohoo tuna pesa" ...kumbe mijitu iko inatumbua Kodi zetu, tuliwaambia kila kitu kina mwanzo na mwisho na siku zote kuna kurise na kufall. Poleni kwa kukutana ambayo hamkuwahi kuyategemea, mjifunze wanadamu wenzenu wanaishije
kwa hiyo wakwere, wagogo,wazaramo,wasambaa,wazigua na waluguru tunataka wawe sawa na wachaga? Mijitu inafanya ngono usiku na mchana na kucheza bao huku inakunywa kahawa kutwa nzima wakati mangi na manka wanatafuta pesa kwa jasho lao.
 
Eti "tunajua kutafuta pesa, ohoo tuna pesa" ...kumbe mijitu iko inatumbua Kodi zetu, tuliwaambia kila kitu kina mwanzo na mwisho na siku zote kuna kurise na kufall. Poleni kwa kukutana ambayo hamkuwahi kuyategemea, mjifunze wanadamu wenzenu wanaishije

Mkuu nimecheka sana.
 
PIX 3.JPG
Kwa hela gani basi za kumfanya awekwe matatani? Historia inaonesha Makamishna wote wa Magaereza wakimaliza muda wao wanakuwa ombaomba wa Idara ya Magereza...wanakuwa tegemezi maana wamezoe magenge....
Genge la usafi kwa Kamishna
Genge la bustani kwa Kamishna
Genge la Ujenzi kwa Kamishna
Genge la Maua kwa Kamishna
Genge la Mifupo n.k....

Hawafanyi kitu, hadi viatu vyake vinang'arishwa na wafungwa! Chupi wanafua wafungwa......

Kama amejikwamua mapema, na nyumba sita, basi atakuwa poa!! Wamwache tu apunguze ombaomba wanaosumbua pale Prisons HQ kila siku
 
Kwani kujenga nyumba ni kosa? Mbona hamjamuuliza Mkwere nani kajenga ikulu msoga? Seriakli inasema watu wajitayarishe kustaafu. ninyi mnakaa vijiweni na vikopo vya kahawa huku mkiwasimanga wachagga. Siungi mkono
 
Nyumba zenyewe ni za aina gani, Usikute tunaongelea two or three bedrooms, toilet and Bathroom na zipo zipo sehemu ambayo sio prime area.

Kwa mtu ambaye amekuwa kiongozi kwa muda mrefu kuwa na nyumba tano za kawaida sio kitu cha ajabu.
 
Na Mwandishi wetu.

Vyombo vya uchunguzi vya Serikali vimeanza kufuatilia ujenzi wa Nyumba tano zinazojengwa sehemu moja Salasala Dsm mali ya kamishna Jenerali wa jeshi la Magereza nchini John Minja.

Chanzo: Jamhuri

Kama kakopa benki milioni 260 hawezi kujenga hizo nyumba?
 
Hivi Hii Nayo Imeishia Wapi Baada Ya Muda Wa Mwaka Mmoja Kupita Na Kwasasa Kaibua Jipya Tena.......
 
Serikali ya CCM inawaonea wachaga tu kisa hawakupata kura Kilimanjaro! Haya sasa hivyo vyeo wapeni wagogo na wakwere tuone wataifikisha wapi hii nchi kama si kukesha kwenye ngoma na kucheza bao.
wachagga wameifikisha wapi hii nchi,?
 
Back
Top Bottom