laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,757
kuiba nako ni kutafuta kwa jasho?kwa hiyo wakwere, wagogo,wazaramo,wasambaa,wazigua na waluguru tunataka wawe sawa na wachaga? Mijitu inafanya ngono usiku na mchana na kucheza bao huku inakunywa kahawa kutwa nzima wakati mangi na manka wanatafuta pesa kwa jasho lao.
