Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Wataalam naombeni ushauri wenu.
Rafiki yangu kameza kwa bahati mbaya 'kisoda' cha bia na kimepita ghafla kooni na kuelekea tumboni.
Je kuna madhara yoyote au kitatoka kwa haja asubiri.
kaingiwa na wasiwasi hivyo wataalamu toeni ushauri mapema tumsaidie.
ahsante
Rafiki yangu kameza kwa bahati mbaya 'kisoda' cha bia na kimepita ghafla kooni na kuelekea tumboni.
Je kuna madhara yoyote au kitatoka kwa haja asubiri.
kaingiwa na wasiwasi hivyo wataalamu toeni ushauri mapema tumsaidie.
ahsante