Kambi ya jeshi inaungua songea

Mkuu mbona historia inapiga chenga hivyo hata kulidharau Jeshi letu la Wananchi kwa kuiita kambi ya Chandamali ni ya mishale ya vita vya Majimaji? Hebu tuombe radhi watanzania.

Mishale iliyotumika vita vya Majimaji watu wachache sana wanayo na mingine ipo pale kwenye Makumbusho ya Mashujaa wa Majimaji Songea.

Mlima Chandamali ulitumika kama sehemu ya kwenda kufanyia matambiko. Chifu Songea, Chifu Luambano na baadhi ya majumbe walikwenda sana huko kutambika before, during and after Majimaji war. (inatajwa hata Marehemu L Gama alikuwa akienda.)

Kambi hiyo ya jeshi ilianzishwa baada ya Uhuru. Inasilaha nzito za kivita. LENAMO wanaijua habari ya kambi hiyo.

Ni RENAMO na sio LENAMO......mimi nasisitiza kuwa mishale ya Majimaji ipo bado.....kama haijaungua ni vizuri
 
Watu walio karibu na kambi hiyo wanapasha kuwa iliyoungua moto si kambi ya jeshi bali ni bwalo la chakula na chanzo chake ni hitilafu za umeme, na kuwa moto umeshadhibitiwa na hakuna majeruhi yeyote kutokana na kadhia hiyo.
 
Wasije wakatumia kipropaganda dhidi ya Chadema. Maana CCM hawakawii kusema Chadema wamechoma.
 
Ni RENAMO na sio LENAMO......mimi nasisitiza kuwa mishale ya Majimaji ipo bado.....kama haijaungua ni vizuri

Sawa, ni typing error badala ya R kuwa L na L kuwa R zinatokea.

BTW: Mbona unaubishi wa ajabu sana wewe? Mishale wa ngao zilitumilka wakati wa vita hiyo havipo hapo. Rudia kusoma maelezo yangu Chandamali ilikuwa wapi kabla na baada ya Majimaji war.

Hebu tueleze (kwa mujibu wa uelewa wako) mikuki hiyo imehifadhiwa ktk kambi ya jeshi ili kiwe nini? Ni sehemu/mahali gani ktk kambi hiyo ilihifadhiwa hiyo mikuki? Tuambie pia ngao ziko wapi? Unaweza kumbuka mara ya mwisho hiyo mikuki uliona lini? =< usilete hadithi za vijiwe vya tangawizi>=
 
ni lazima iwe kambi iliyo na silaha nzito za kivita manake iko mpakani na ukichukulia kusini ndo ilikuwa front line so lazima imesheheni hazina za silaha, hata kama zimeanza kuwa kuu kuu. kuna haja ya waziri mhusika kuwajibika manake sasa makambi ya jeshi ni janga la kitaifa. hata askari wetu wataogopa kuishi makambini sasa manake hatari zimezidi ndani ya miaka michache hivi. wambadilishe basi huyu waziri kwani lazima awe yeye tu? au ndo mkakati wa kumwekea pingamizi la incompetence asigombee urais 2015 limeanza? manake wenye magamba wana strategies sio za kawaida
 
Kuna kambi ya jeshi Chandamali inateketea kwa moto Songea...
moto ueanza kuwaka mida ya saa tano.. watu mlioko huko tujuzeni..
hali siyo swari mwenye data

POMPO HIYO AVATAR YAKO DAH,,naona kama haiko kiusalama zaidi
 
Sawa, ni typing error badala ya R kuwa L na L kuwa R zinatokea.

BTW: Mbona unaubishi wa ajabu sana wewe? Mishale wa ngao zilitumilka wakati wa vita hiyo havipo hapo. Rudia kusoma maelezo yangu Chandamali ilikuwa wapi kabla na baada ya Majimaji war.

Hebu tueleze (kwa mujibu wa uelewa wako) mikuki hiyo imehifadhiwa ktk kambi ya jeshi ili kiwe nini? Ni sehemu/mahali gani ktk kambi hiyo ilihifadhiwa hiyo mikuki? Tuambie pia ngao ziko wapi? Unaweza kumbuka mara ya mwisho hiyo mikuki uliona lini? =< usilete hadithi za vijiwe vya tangawizi>=

Punguza povu la mate basi........kwani mishale ina ubaya gani kuhifadhiwa katika kambi ya jeshi?....si ni kuwaenzi waliojitolea muhanga na vita ile?.....wewe unatukuza bunduki na mabomu tu?....mbona siku ya mashujaa Rais haweki mabomu bali mkuki na mshale kama ishara ya kukumbuka mashujaa?
 
Nilisikia leo kuna operation ya kuchoma mabomu yaliyo-expire....vp inarelate anythng hapa??
 
Back
Top Bottom