Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Ameyasema Mnyika bungeni. Ni hadi mambo kadhaa kama yalivyoainishwa kwenye ripoti yafanyiwe kazi...
CCM SIKIO LA KUFA hata uongee kwa kutumia tundu la chini hawakuelewa!
Imeshapigwa muhuri...Full stop.Huwa mnyika anaamuru Serikali ya CCM.Tena humuamuru rais.Mengine huwaachia wacheze ngoma, mipasho, etc wakimaliza wanarudi wenyewe kwenye amri.Kasema hilo hivi punde katika hotuba yake ya kambi rasmi ya upinzani bungeni...
Tunashukuru sana Upinzani hususani chadema na mnyika kwa ujumla...
HUKU MABOMU BADO YANAENDELEA NA KUNA VURUGU KALI SANA MAENEO MBALI MBALI,
KAULI YA MNYIKA IMEPOKELEWA KWA SHANGWE YA HALI YA JUU SANA...
TUTAKUJA NA PICHA BAADAE KIDOGO....
Thanks Mnyika,Thanks a lot,KUSINI INATAMBUA MCHANGO WA CHADEMA NA UPINZANI KATIKA HILI...
Nimepiga picha kwenye vurugu za hapa COCOBEACH ila katika harakati za kurupushani nimeangusha camera na askari wameichukua,hali ni mbaya,
Nimeskia tetes kuwa kuna askari na raia mmoja kafa,tukipata uthibitisho tutaiweka hapa,
Natembea na laptop lakin nafungua na kuifunga kwa ajili ya kuwapa updates tuh,hali tete sana,,
Nipo maeneo haya haya ya vurugu cocobeach,mabom bado yanapigwa