godfrey francis
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 117
- 16
Siki hizi atuangalii ugumu wa training tunaangali kambi ambayo ipo karibu na mjini,kambi nyingne zipo shamba kinyama
Nda uonee. Mm nlienda 2015 Nlikuta kambi nizuri maji kila kona vyoo visafi kuliko hata vya Baadhi ya vyuo Na vitanda vizuri lakini tulikaa wiki tatu hata kuvigisa vitanda hatujagusa tukienda bwenini nikufagia tuu basi Na baada ya mkesha kuisha tunalala saa saba usiku tunaanka saa Tisa ucku hapo ndo utajua hata la Ruvu lilipo. Kiufupi Ni kambi ilo jengeka sanaaaa. Lakini hutafaidi uzuri wake maana Ni kazi twenty four hours.hilo nalijua lakini nasikia kuna kambi kama jkt ruvu pale ni mteremko sana,nasikia hats baadhi ya mafunzo huwa hawafanyi
Mkuu hata mimi nilikua hapo op uzalendobulombola kigoma,inafuatia mafinga au mafimbo.
Igp anahusika vipi na jeshi? Labda ulimaanisha Chief of Defence Forces (CDF)Vp nikupe no ya igp .....
Pale kabuku sio pamchezo mchemzo mashamba ya bwawani ,gendagenda na komsanga acha tuKambi ni mgambo 835 kj na ugumu wake unatokana na mashamba ambayo ya ukubwa unaoendana na wilaya kinondoni, ratiba za shamba ni kila siku