Kambi Gani ya JKT Inamafunzo Magumu?

Kambi Gani ya JKT Inamafunzo Magumu?

Kwenu nyinyi mafunzo magumu ndo yapi?
Mimi naomba ningekua askari nipewe hayo mafunzo magumu ili nipate ukomavu haswa.
 
Askari achagui kambi, mguu pande mguu sawa mbelee tembea acha kuleta nizamu za uoga
 
Ila ni nini? Kama hujui usipende kubisha, tulia utajua kupitia wengine. Mafinga ni mji na pia kuna kambi ya JKT inaitwa MAFINGA JKT (841 KJ).

tulia mkuu,841kj mafinga ni kambi inayotoa mafunzo ya jeshi la wananchi[tpdf],,,input[wanaojiunga hapo] ya hapo ni vijana ambao walishapitia mafunzo ya awali ya jeshi ya kujitolea[jkt] na wakakaa kwa miezi kadhaa katika vituo vya malezi,wakiwa huko huapply kwenda jeshi la wananchi,upolisi,magereza n.k,,wale wanaobahatika kupata jeshi la wananchi ndo huenda mafinga,monduli,[na oljoro imeongezwa kwny hili kundi],,,,hope umenipata
 
Mafinga ni kambi inayomilikiwa na jkt ila inaazimwa kwa tpdf kufanyia mafunzo. Ni kawaida sana mkuu.

Hadi Mwalimu Nyerere alipiga depo lake la mujibu wa sheria mafinga jkt

Angalia hiyo link ya official website ya jkt Mafinga JKT

Samahani kiongozi eti una undugu na mossad007?

hahahahah
umenichekesha sana mkuu,,,, huyu jamaa ni abandoned brother
 
Mafinga ni kambi inayomilikiwa na jkt ila inaazimwa kwa tpdf kufanyia mafunzo. Ni kawaida sana mkuu.

Hadi Mwalimu Nyerere alipiga depo lake la mujibu wa sheria mafinga jkt

Angalia hiyo link ya official website ya jkt Mafinga JKT

Samahani kiongozi eti una undugu na mossad007?

mkuu nilikuwa naelewa little about that thats why i started with,"kwa uelewa wangu mdgo".ninafahamu kuwa kwa muda mrefu tpdf wanafanyia mafunzo pale,,,mara ya mwisho mafunzo ya jkt yalifanyika lini pale mafinga???
 
askari hachagui kambi aende kokote bila kujali ni wapi
Mimi nilikua mtabila jkt 825kj pamoja na jiografia mbaya ya pale nilikomaa mwanzo mwisho so hakuna cha uoga kama hataki abaki nyumbani maana jeshini hakuna ubishororo
 
Naskia Bulombola JKT ndio pagumu sana ndani ya Kigoma hiyo. Kwanini Mnamshauri anywe maji mengi?? Ndio itapunguza ugumu wa mazoezi??

Si bora huko bulombola tena ni kigoma mjini kuna mtabila jkt 825kj iko kasulu kigoma ni bush balaa jiografia ya ajabu kabisa poriini jua likiwaka ni vumbii mvua ikinyesha ni tope balaa nyoka ni washkaji wa kuruti so hamna uadui unalala nae safi kabasa chini kwenye sakafu na kigodoro kukuu chenye unene mithili ya chapati hahahaha still missing you mtabila
vijana vijana vijana tayari ...kulijenga taifa taifa taifa kulijenga taifa taifa la tanzania
akisikia huo wimbo atasahau ugumu
 
kiukweli sidhani kama kuna kambi ya mafunzo ya jeshi ambayo inakuwa na mafunzo ya lelemama, silabasi ni moja tu kwa kambi zote kama elimu ya chuo kikuu
 
:A S soccer: Ndo fani yangu ila bindamu xo wema nlivotapeliwa khusu jeshi pesa nikatoa xkumwona na nliempa xkumuona nkabaki nmeduwaa ddma na cm yake akaizma mpaka leo hii.
 
821 KJ ndo pagumu zaidi kuliko kambi yoyote hile hapa tz. Kule kuna migebuka na kuchoma chokaa na kilimo cha migazi. Ukisepa kuna sehemu wanaita Kaseke bwana kule kuna Primus na mihogo alafu waha wana roho yao inajifanana hawana huruma kabisa isee. Ukizubaa kidogo wanakutoa roho wanakunyanga mustini na peki, kwahiyo unarudi hauna apetaiti kabisa.
Ukitaka kutelezea weenenda 81KJ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom