Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,082
- 983
je wewe ungeweza kama mtu kakufitisha na bosi umeachishwa kazi .kama kapata ajali na yuko moi je unaweza kwenda kumjulia hali
Hvi na ww bado una ule propaganda za mwalmu kama idd amini anakula nyama za watu duuhhWanatengeneza matukio halafu wanawahi kwenda kutoa pole...
Mwaka 1932 Adolf Hitler alichoma moto jengo la Bunge la Ujerumani halafu akawahi kutoa pole na kuwatuhumu wapinzani, hivyo hivyo mwaka 1976 Idi Amini alimwua Jaji Mkuu wa nchi hiyo halafu akajitokeza haraka kulaani tukio hilo na kuahidi kuwa wahusika wote watakamatwa na watakiona cha mtema kuni, maskini kumbe alishamla nyama na baadhi ya viungo vya mwili wa huyo Jaji alivihifadhi kwenye jokofu kwenye moja ya vyumba za Ikulu ya nchi hiyo!
watz 2na vituko sanaKaka Chupayamaji usitake watu tubadili jina lako na liwe kichwamaji sasa manake unapotea...Kwa akili ya kawaida tu ulitegemea nini baada ya Bashite kutapatapa kwa njia zoote za kuwamaliza Clouds kushindikina nini kingefuatia...Tokea zamani amekuwa akidanganywa na ma 'ZB' wanaomzunguka 'of the likes' za akina Lemubabes, Jerry Muro, Naibu waziri wa Michezo (Shonza I think so) na wengine kibao kwamba ukizuia FIESTA umewamaliza Clouds...sasa pamoja na kutishia isifanyike kwa kuweke vikwazo kibao lukuki...jana kapewa taarifa kuwa jamaa wameshauza ticket za kutosha kama hawana akili so ata kama akizuia itakula kwa washabiki na sio Clouds....Hakuishia hapo alienda mpaka TCRA akitaka wafungiwe kutokana uropokaji wa Kibonde na yule Bacherlor Gadner lakini alichopewa sicho...wazungu walisema njia bora ya kummaliza adui yako ni kuwa karibu nae..Naona amejaribu kufuata hiyo njia.Ila ninavyomfahamu Ruge the guy he is very smart than Kusaga.
Kama movie la kihindikatika picha kali kutoka mwaka huu hii ni nambari moko
Itakuwa uliongozwa na maninjaKiongozi ni viashiria gani vimepelekea uone kuwa huo ni Msafara wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Dar?
H a a ha a.., Mkuu hatari sana!Itakuwa uliongozwa na maninja
Nimepishana na msafara wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Dar ukiongozwa na Mwenyekiti wake RC Makonda muda huu..!
Nadhani ni kwenda kutoa pole kwa tukio la moto lililotokea jana.
----------
Saa 2 baadaye..
Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda amefika Ofisi za Clouds Media akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama kutoa pole kwa ajali ya moto uliounguza sehemu ya jengo hilo..
View attachment 635547 View attachment 635548
Video..
Bila shaka atakuwa alienda kuthibitisha tu
Kwani huko ghalani kuna kamera?Kumbe hili ndo jukumu la kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa?, mbonqa pale kwenye ghala la matairi barabara ya nyerere hawakwenda?
Poleni Clouds Fm kwa janga hili la moto. Hii ni mara ya pili baada ya lile la Kitega Uchumi. Tunaamini uchunguzi utafanyika kubaini chanzo cha moto huu na kuwekwa wazi.
Anapiga QT za form 2,Joseverest unazingua