Kamati ya Maadili yamsimamisha Stephen Masele kutohudhuria vikao vitatu vya Bunge. Spika Ndugai apendekeza asamehewe

Hili bunge la awamu ya tano nadhani ni shida kwa ustawi na maendeleo ya taifa.. Hivi unapomnyima mwakilishi wa wananchi Mahudhurio ya vikao vitatu vya bunge unamkomoa Mbunge au wananchi anaowawakilisha?
 
Ndivyo ilivyo, inasemekana wakati mwenyekiti anasma mapendekezo jamaa alipokea simu, baada ya kuongea na simu kabla hata mapendekezo hayajaisha akasimama na kutangaza kuwa wabunge waachane na masele kwani kamsamehe
Home boy forever.....Mzee 'Kipaza sauti' chalii.
 
Who looks the best in society?.....Is the one who create the problem and solve it himself
 
Magufuli bwana anaibuka dakika za mwisho na kujizolea point zote tatu kiulaini....

Pole Ndugai kwa hii aibu.

Ukweli ndugai hastahili kuendelea na nafasi ya kuongoza bunge ni very shallow

Kuna mambo muhimu sana yakufanya sio kutuabisha kirahisi namna hii

1. Alipaswa kushughulikia wasiojulikana.... angeweza...basi angejijengea Heshima kubwa sana na angeaacha legacy

2. Alipaswa kushughulikia mapungufu na utata wa matumizi mabaya ya fedha zetu kupitia uchunguzi/ukaguzi wa CAG Prof Assad...... kinyume chake anamhujumu CAG

3. Alipaswa kuunganisha bunge (CCM NA WAPINZANI ) kuisimamia serikali, kuiongoza na kuifanya iwe serikali bora na yenye tija

4. Alipaswa kuhakikisha Katiba inatekelezwa kwa mujibu wa Taratibu za bunge
....waziri wa Katiba na sheria anapewa kitimoto cha nguvu bungeni, sio kuomba bajeti kuenda kuvunja katiba na kudumaza demokrasia na haki za msingi za kitaifa

Ndugai amegeuza Bunge kijiwe cha unafiki, kushupalia umbea na kuacha mambo ya msingi.

Anapambana na wapinzani kwa hoja dhaifu kabisa

Anapambana na wote wanaoonekana kufanya vizuri

Kifupi CCM isafishe kiti cha speaker kimepwaya sana.... Ndugai anapambana na wale wote waliobobea na bora subject to his inferiority complex

Kuendelea na ndugai nikama kulipaka kinyesi Bunge letu tukufu na kulichafua Taifa letu Tanzania hususani kimataifa sasa tunaonekana dhaifu saaana.
 
Sijui kama unafahamu kwamba maselle ni mbunge wa shinyanga mjini?
Hiyo tiketi ya PAP kaipata kupitia bunge la JMT,kama kuna tuhuma za utovu wa nidhamu ni lazima waliomtuma wamuhoji.
Kwa Bhanji watu waliongea na viongozi wa chama chake,wakamfyekelea mbali
Mi nafikiri mkuu hapo juu alichouliza ni kuwa kosa hilo amelitenda kwenye bunge gani.
 
Mwenendo wa bunge la ndugai unazidi kudhihirisha udhaifu wa chombo hili kutokana na maamuzi ya kiongozi wa bunge. Ndugai amekuwa akiitumia kamati ya maadili kama mhuri wake wa kufanya visasi na kuwakomoa asiowapenda, suala lisilo na tija kwa taifa. Kwanini anashindwa kulielekeza bunge ktk kuisimamia serikali dhidi ya matumizi mabaya ya fedha na madaraka, na badalayake analitumia bunge kama mahakama ya kuwakomoa asiowapenda na kujigeuza nyumba ndogo ya watawala?
 
Mwenendo wa bunge la ndugai unazidi kudhihirisha udhaifu wa chombo hili kutokana na maamuzi ya kiongozi wa bunge. Ndugai amekuwa akiitumia kamati ya maadili kama mhuri wake wa kufanya visasi na kuwakomoa asiowapenda, suala lisilo na tija kwa taifa. Kwanini anashindwa kulielekeza bunge ktk kuisimamia serikali dhidi ya matumizi mabaya ya fedha na madaraka, na badalayake analitumia bunge kama mahakama ya kuwakomoa asiowapenda na kujigeuza nyumba ndogo ya watawala?
Hivi kosa la Maselle ni lipi mbona halisemwi?
 
Masele hakutumwa kupeleka vurugu kwenye bunge la AU.
Masele anatamani kiti cha bosi wake tu
Huyu ni kumsimamusha mwaka mzima mpa bunge liishe atafutwe muwakilishi mwingine
Hana tofauti na na Bhanji aliekua analeta vurugu EALA,Bhanji kang'olewa EALA sasa kumetulia
hayo ndio makosa yake au una mhemuko tu kama ndio je AU bunge hawana kamati ya maadili y wasimhoji, leteni madudu yake haya hayana mashiko kwetu
 
Natural justice should be exercised!
Ukituhumiwa,lazima upewe nafasi ya kujitetea
Jiulize mbona alipopelekewa wito aligoma kwa madai ameshaongea na Pm kana kwamba Pm ndio bosi wake
anatuhumiwa kwa lipi weka wazi
 
Back
Top Bottom