Kamati ya kuvunja ndoa

Kamati ya kuvunja ndoa

Mungi kamati uipendekeze wewe na wewe mwenyewe uwe mwenyekiti
Hakuna kitu kama hicho
Na ulivyo na hamu na sweetlady unataka tuu ndoa yake ivunjike ili umuoe na ukishamuwowa na kamati yako inavunjika
 
Last edited by a moderator:
Mungi kamati uipendekeze wewe na wewe mwenyewe uwe mwenyekiti
Hakuna kitu kama hicho
Na ulivyo na hamu na sweetlady unataka tuu ndoa yake ivunjike ili umuoe na ukishamuwowa na kamati yako inavunjika

hahahaaaaaa tulia mkuu subiri kamati ipate baala za Baba V
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Tutaendelea kuwa ndoa ya mfano milele daima.... Ingawa majungu hayakosekani........
 
mmmmmhhhh haya bana,kwanza kampe pole asprin kwa yaliyomkuta jana.
 
Mkuu Mungi kwanza kabisa lengo kuu la kuanzishwa kwa hiyo kamati si jema kabisa,ni imani yangu kubwa kuwa kila mwana chit chat anapenda kuona ndoa zilizopo zinastawi na walio nje ya ndoa wanadumisha upendo baina yetu wanachit chat wote,ndio maana ikaundwa tume yangu na kamati zake ili kuhakikisha kuwa wanaoingia katika mahusiano na ndoa wanafurahia bila kuwepo kwa vitisho vya ndoa yao kuvunjwa.
Napinga kuanzishwa kwa kamati yako kutokana na WASIWASI wangu juu ya hatma ya ndoa za watu,nahofia kwamba ENDAPO HAKUTAKUWA NA MIGOGORO KATIKA NDOA NA KAMATI IPO NA LAZIMA IFANYE KAZI,Matokeo yake itakuwa ni kutafuta visababu vya kuvunja ndoa za watu ili kamati iendelee kuwa hai.
PIA tutambue kuwa sio kila ndoa inayokumbwa na mgogoro ni lazima iishie kuvunjika, kunapotokea mgogoro ndani ya ndoa sisi wadau wengine tushirikiane na wanandoa husika kutatua mgogoro baina yao lakini suala la ndoa kuvunjika au kuendelea kudumu ni la wanandoa wenyewe.ndoa inafungwa bila kusudio la kuvunjika baadae.tudumishe hilo
NDOA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
Baba V
Mwenyekiti.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom