Kamati ya kuvunja ndoa

Kamati ya kuvunja ndoa

Mungi mbona unataka kuleta siasa Chit Chat???? Huku hakuna mambo ya majungu kama ilivyo kule!!!! Sasa natoa onyo, waguse hao hao akina Madame B
sweetlady, Filipo, marejesho, Preta ila ukinigusa mimi tu na mtu ambaye nitamtangaza Tanga jua umekwisha.
 
Last edited by a moderator:
We Mungi acha mambo yako
Utafumabniwaje na mke wako
sweetlady ni mke wangu kwa hiyo siwezi fumaniwa
We ndo unamtamani sana uwe nae
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mungi kwanza kabisa lengo kuu la kuanzishwa kwa hiyo kamati si jema kabisa,ni imani yangu kubwa kuwa kila mwana chit chat anapenda kuona ndoa zilizopo zinastawi na walio nje ya ndoa wanadumisha upendo baina yetu wanachit chat wote,ndio maana ikaundwa tume yangu na kamati zake ili kuhakikisha kuwa wanaoingia katika mahusiano na ndoa wanafurahia bila kuwepo kwa vitisho vya ndoa yao kuvunjwa.
Napinga kuanzishwa kwa kamati yako kutokana na WASIWASI wangu juu ya hatma ya ndoa za watu,nahofia kwamba ENDAPO HAKUTAKUWA NA MIGOGORO KATIKA NDOA NA KAMATI IPO NA LAZIMA IFANYE KAZI,Matokeo yake itakuwa ni kutafuta visababu vya kuvunja ndoa za watu ili kamati iendelee kuwa hai.
PIA tutambue kuwa sio kila ndoa inayokumbwa na mgogoro ni lazima iishie kuvunjika, kunapotokea mgogoro ndani ya ndoa sisi wadau wengine tushirikiane na wanandoa husika kutatua mgogoro baina yao lakini suala la ndoa kuvunjika au kuendelea kudumu ni la wanandoa wenyewe.ndoa inafungwa bila kusudio la kuvunjika baadae.tudumishe hilo
NDOA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
Baba V
Mwenyekiti.

Sasa we Baba V unataka wadau tukupigie kura ya kutokuwa na imani na wewe ngoja tu
 
Last edited by a moderator:
Mungi mbona unataka kuleta siasa Chit Chat???? Huku hakuna mambo ya majungu kama ilivyo kule!!!! Sasa natoa onyo, waguse hao hao akina Madame B
sweetlady, Filipo, marejesho, Preta ila ukinigusa mimi tu na mtu ambaye nitamtangaza Tanga jua umekwisha.

Hahaaaaaa huo Mkwara wa madafu tu................ hebu tangaza tukuweke kwenye list............. tena kabla ya Tanga inatakiwa Madame B awe amefumaniwa tayari akiwa kapakatwa na Mungi
 
Last edited by a moderator:
We Mungi acha mambo yako
Utafumabniwaje na mke wako
sweetlady ni mke wangu kwa hiyo siwezi fumaniwa
We ndo unamtamani sana uwe nae

Hapa sasa nadhani ndoa zetu zinahitaji kuwa na mwogozo! Unapata wapi kiburi cha kumtangaza hadharani mke wa "Mtu" kwamba ni wako!? Baba V embu kam zis wei umweke mtu lokapu! Tukiwaachia mtakuja kwa wake zetu pia!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom