#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Kwa tulioofika sasa maamuzi ya kutumia chanjo kwa mtu atayetaka ni lazima yawe hivyo la sivyo huko mbele ya safari mambo mengi hayatakwenda, hiyo chanjo ingeweza kukataliwa lakini nchi nyingine zote zimekubali chanjo ila zinaangalia iliyo salama hapo ndo tupiganie kupata kilichobora, maana kuna watu wanatoka nje ya nchi ni hilo ni hitaji la nchi zinazotembelewa pia kuna watu wanakuja kwenye nchi yetu kutoka nje wanakuwa wamechanjwa na chanjo nyingi zinakuwa ni huo ugonjwa ukiwa na kinga sasa hao watakao kuwa wamechanjwa ndo watakaotuambukiza sisi ambao hatujachanjwa hasa wenye kinga ndogo hivyo hii kujichanganya lazima hatua zichukuliwe na hiyo kutangaza takwimu ni sawa tu Ili wagonjwa wajulikane na wahudumiwe vizuri kuliko kujificha alafu mtu akiumwa hospitali zinamkataa maana hakuna maandalizi ya huduma hiyo mwisho mtu anakufa ghafla, pia vipimo viwe na gharama ya chini Ili huo ugonjwa uwe ni kitu cha kawaida Kama malaria watu wapimwe na wapate huduma na vifaaa vya kujikinga viwepo kwa gharama ndogo isiwe kibiashara.
 
Jamaa aliwaharibu sana vichwa vyenu!
 
Ni ajabu tunataka kwenda China ( Guanzhou) na ATCL na tunafurahia lakini tunashindwa kuelewa tunakoelekea hakuna nchi tutaingia kufanya kazi/biashara kama huna chanjo ya covid.
 
Una hisi hatuna akili kama wewe?
 
Twafaaaaaa jamani hao wazee wanaotaka chanjo wajichanje wenyewe watuache vijana manake wao wanataka kuharakia kufa sisi vijana watuache tuendeleze taifa manake nasikia chanjo mbeleni huko miaka 30 hivi ijayo genes zetu zinaweza badilika chanjo ni mbaya wazungu wenyewe hawaitaki
 

Tume ya mama imekuja na majibu kama ambayo tumekuwa tunayapigia kelele muda wote. Labda kama tume ya mama ni ya wajinga.

India kuna watu 1.3bn hao wanaokufa kwa siku ni % ngapi? Una uhakika gani % ya Tanzania leo kama ni ndogo au kubwa kuliko hiyo?

Kwa nini mnadhani mnajua hali hakuna mjualo?

Tutafuata maelekezo ya tume ya mama. Sasa kazi tu! Wajinga wajinga wote hata kwa kiboko mtanyoroka tu.
 
Ebu tupe jina la ilo taifa ambalo wamechanja 60% lakini maambukizi yanapanda ,please kaka tupe jina ikiwezekana weka link kuhusiana na hiyo namba.
 
Unajuaje hawataki? Mimi naona picha hizi za watu wanaosubiri kwenye foleni kupigwa chanjo...

Berlin, Ujerumani terehe 16 Mei

Hamburg, Ujerumani, tarehe 15 Mei

Uingereza, juzi hivi
 
Huyo ndio kiongozi wa Kweli, maana ya kiongozi ni kujitoa kwa ajili ya watu wako,hata kama itakugalimu maisha yako,sio huyu takataka kazi ni kujipamba na kupaka lipstick tu, unafikiri anatafuta umiss Tanzania
Wewe ulishakua kiongozi wapi,au ujuaji tu wakijinga hapo ulipo utakuta ata familia yako tu inakushinda.
 

Naunga mkono hoja kwamba ni upotezaji wa rasilimali za nchi kwa kuja na matokeo ambayo yangepatikana kutokana na dodoso kujibiwa na watalaamu bila kutumia gharama bila tija yoyote ile kisa wanataka kufurahisha jamii ya kimataifa.

Usanii uliotukuka kwa kuwa hakuna hitimisho maana inaelekeza viongozi wa dini waendelee kushirikishwa na dawa mbadala ziendelee kufanyiwa uchunguzi wa kisayansi. Maajabu
 
Taifa linakwenda kuanguka.. tulikuwa tumejizoea mfumo huu.. sasa malengo yao ya kuitia dunia hofu yamekamilika... Siku tu idadi ikianza kutangazwa nchi itaingia kwenye tahaharuki ya kudondoka mtu..

Ni kwel tunahitaji chanjo?? Au tunahitaji kuingia kwenye Muunganiko wa kuana?? Who knows after kinanachoitwa chanjo??

Kama ni Kinga kwel y India imepiga balaa?? Hiv kwel thinktank ya kamati ndo hayo tu mapendekezo? Au yalikuwa maelekezo? Mbona Kama yalijulikana before?? No anynews!!!

Anyway ngoja tutiane hofu ili malengo yafikiwe..
 
Taifa linakwenda kuanguka.. tulikuwa tumejizoea mfumo huu.. sasa malengo yao ya kuitia dunia hofu yamekamilika... Siku tu idadi ikianza kutangazwa nchi itaingia kwenye tahaharuki ya kudondoka mtu..

Ni kwel tunahitaji chanjo?? Au tunahitaji kuingia kwenye Muunganiko wa kuana?? Who knows after kinanachoitwa chanjo??

Kama ni Kinga kwel y India imepiga balaa?? Hiv kwel thinktank ya kamati ndo hayo tu mapendekezo? Au yalikuwa maelekezo? Mbona Kama yalijulikana before?? No anynews!!!

Anyway ngoja tutiane hofu ili malengo yafikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…