Kamati ya Bunge: Bwawa la Nyerere litakamilika Juni 2024, Tsh. Trilioni 5.85 zimelipwa tayari

Hili bwawa kila leo tarehe zinasogezwa mbele hii nchi kuna vituko sana..
 
Mradi wa JNHPP umefika 95.83% na mwezi Juni mwaka huu utakamilika huku kiasi Cha pesa Tsh. 5.85t,tayali kilisha lipwa kwa mkandarasi.

Mpaka sasa kiasi cha maji kilicho jazwa kwenye bwawa ni kina cha maji cha mita 167,ni kiasi tosha kwa kuanza uzalishaji wa umeme ambapo mwezi Februari 16,2024 mtambo wa kwanza utawashwa na ifikapo mwezi machi 2024 mtambo wa pili utawashwa.kiasi cha megawati 470 zitaingizwa kwenye Gridi ya Taifa.

Chanzo : Jamiiforum toka mtandao wa X
 
Na SGR itakamilika baada ya uchaguzi mkuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…