Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Wakuu Salaam.
Kamati Kuu ya dharura ya CHADEMA kukaa kesho kwa mujibu wa Katiba kwaajili ya kupitisha Wagombea nafasi mbalimbali katika Baraza la Vijana CHADEMA(BAVICHA).
Siku ya kesho ndio mtapata nafasi ya kujua idadi kamili ya Wagombea pamoja na majina yao.Uchaguzi unatarajiwa kufanyika Siku ya Jumamosi tarehe 28 Mei 2011 kama ilivyotangazwa hapo awali.
Kaeni Mkao wa Kula.
Kutoka Makao Makuu ya Chama
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira
Kamati Kuu ya dharura ya CHADEMA kukaa kesho kwa mujibu wa Katiba kwaajili ya kupitisha Wagombea nafasi mbalimbali katika Baraza la Vijana CHADEMA(BAVICHA).
Siku ya kesho ndio mtapata nafasi ya kujua idadi kamili ya Wagombea pamoja na majina yao.Uchaguzi unatarajiwa kufanyika Siku ya Jumamosi tarehe 28 Mei 2011 kama ilivyotangazwa hapo awali.
Kaeni Mkao wa Kula.
Kutoka Makao Makuu ya Chama
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira