<br />Wadau Kikao kimecotton fire Chenge amemuingiza mjini Mwenyekiti kumbe ilitakiwa kabla hatujaanza kikao hiki ilitakiwa awe amejiuzulu na alikubali hivyo mbele ya Kikao cha maadili Lowassa ndo alikacha kabisa,Mwenyekiti kaumbuka ndani ya Kikao Wajumbe wamechachamaa Mkama toka alipoenda uani saa mbili hajarudi tena sijui leo kutakuchaje wanajf tusubiri tutaendelea kujuzana.
na lowassa je?
taarifa kutoka ndani ya chama cha mapinduzi (ccm) zinasema tayari chama hicho kimepanga kumuita rostam katika mkutano wa kamati kuu (cc) uliopangwa kufanyika 30 julai 2011 kwa lengo la kumwangukia. Mwanahalisi.
Nini kimejiri, amekubali kuhudhuria au kagoma tutaarifiane hapa jamvini.
I cant wait kuona Magamba leo tunawazika na sumu yao na kujenga Tanzania mpya yenye maadili na heshima. CCM kwishenei itabakia Historia tutawakumbuka kwa kutuingiza kwenye Mikataba mibovu, Maisha Bora kwa Mafisadi na Ujinga wao mwingi. Asante CCM kwaheri by by
7. Marekebisho ya sheria ya maandamano, yafutwe kabisa bse ndio yaliyokifikisha chama hapa.
8. Mtu atakayereplace RA kupiga deal kwa ajili ya kupata mkwanja wa 2015
9. kwa kuwa tathamini inaonesha njia ya kura halali haitaturejeshea jimbo la igunga, njia gani mbadala za kutumia ili kulipata lile jimb
10. sababu tunazowapa TZ kuwa ndio chanzo cha tatizo la umeme, wameanza kuzishtukia kuwa ni feki, tu brain storm kupata visingizio vipya (hapa mwenyekiti atasisitiza, LAZIMA TUWE CREATIVE 🙂 )
<br /><font color="#0000ff"><font size="3">- According to the dataz, Chenge amejivua gamba leo rasmi huko CC, kikao kinaendelea mpaka sasa!<br />
</font></font><br />
<font size="4"><font color="#ff0000">Willie @ NYC, USA.</font></font>
asante mkuu kwa data tuna mmiss sana FMES !!!!!!!! kwenye issue kama hizi- According to the dataz, Chenge amejivua gamba leo rasmi huko CC, kikao kinaendelea mpaka sasa!
Willie @ NYC, USA.
Kikao kinaendelea, JK hataki kumaliza kikao kwa kuwa hakuna muafaka mpaka sasa. Wajumbe wakali sana, nape kama hakujiuzulu baada ya kikao cha leo mtaniambia.
Jk kweli ni mwoga wa kufanya maamuzi magumu. Chenge ni Jeuri kweli, haonyeshi kabisa heshima hata kidogo kwa mwenyekiti wake, kifupi anamdharau sana. Nape kaongea mara moja tu, juu ya kuwasilisha taarifa ya hali ya kisiasa nchini. Ila amepata upinzani mkubwa kutoka kwa wajumbe mbali mbali, mwenyekiti wa ccm mkoa wa dar es salaam ameonyesha dhahiri kwamba haungi mkono harakati zote za nape,
Kazi kweli kweli[/QUOTE
MAGAMBA KWISHA KAZI
<br />Kikao kinaendelea, JK hataki kumaliza kikao kwa kuwa hakuna muafaka mpaka sasa. Wajumbe wakali sana, nape kama hakujiuzulu baada ya kikao cha leo mtaniambia.<br />
Jk kweli ni mwoga wa kufanya maamuzi magumu. Chenge ni Jeuri kweli, haonyeshi kabisa heshima hata kidogo kwa mwenyekiti wake, kifupi anamdharau sana. Nape kaongea mara moja tu, juu ya kuwasilisha taarifa ya hali ya kisiasa nchini. Ila amepata upinzani mkubwa kutoka kwa wajumbe mbali mbali, mwenyekiti wa ccm mkoa wa dar es salaam ameonyesha dhahiri kwamba haungi mkono harakati zote za nape,<br />
Kazi kweli kweli
Kikao kinaendelea, JK hataki kumaliza kikao kwa kuwa hakuna muafaka mpaka sasa. Wajumbe wakali sana, nape kama hakujiuzulu baada ya kikao cha leo mtaniambia.
Jk kweli ni mwoga wa kufanya maamuzi magumu. Chenge ni Jeuri kweli, haonyeshi kabisa heshima hata kidogo kwa mwenyekiti wake, kifupi anamdharau sana. Nape kaongea mara moja tu, juu ya kuwasilisha taarifa ya hali ya kisiasa nchini. Ila amepata upinzani mkubwa kutoka kwa wajumbe mbali mbali, mwenyekiti wa ccm mkoa wa dar es salaam ameonyesha dhahiri kwamba haungi mkono harakati zote za nape,
Kazi kweli kweli
<br />na hapa kama Nape akijiuzulu Lowasa atakuja kuchukua nchi na Nape hatakuwa na Nguvu yoyote tena ndani ya ccm.. kuhusu JK kuwa legelege hilo kila mtu analijua ..JK hana ubavu wa kumwambia Lowasa aondoke ...