Kamati kuu CHADEMA, haijajadili Ubunge wa Aida Khenan

Mke wa Makamu Mwenyekiti Salum Mwalimu, Mke wa Naibu Katibu Bensom Kigaila, Mke wa Kada Maarufu aliekuwa anazunguka na Lissu Binamu bananga ane kala viti Maalum, Nusrat Hanje nae kapiganiwa

Mchezo wa viti maalum ilikuwa mchezo wa kupigana timing, safari hii Wanawake wa Kichaga kina Lucy Kihwelu wamepigwa Mtama
 
Sikikiza tamko la Chadema la kutokutambua matokeo na kuitisha maandamano yasjyo na kikomo nchi nzima.
Huyo amechaguliwa na wananchi, ila wao wamesingizia mamlaka ya Chadema imepitisha majina yao, hiyo ikapelekea kamati kukaa kwa haraka kuliweka sawa jambo hilo mana lilianza kuwachanganya wanachama wote wa CDM. Swala la mbunge wa Nkasi halina haraka sana lakini pia litashughulikiwa
 
Mke wa Makamu Mwenyekiti Salum Mwalimu, Mke wa Naibu Katibu Bensom Kigaila, Mke wa Kada Maarufu aliekuwa anazunguka na Lissu Binamu bananga ane kala viti Maalum, Nusrat Hanje nae kapiganiwa

Mchezo wa viti maalum ilikuwa mchezo wa kupigana timing, safari hii Wanawake wa Kichaga kina Lucy Kihwelu wamepigwa Mtama
Mr Hai: "Nafasi ya Bi Aidan na wabunge wa viti maalum lazima tuzichukue zote; lakini pia lazima kwa nje, mbele ya wanachama wetu, tuzuge tumechukizwa sana na uamuzi wa hawa 19 kula kiapo!"

"Akili za kuambiwa changanya na zako."
 
Baada ya kusikiliza kile kilichoitwa maamuzi ya kikao cha kamati kuu haya ndiyo nimejionea.

1.Wamevuliwa uanachama wa Chadema kwa sababu hawajatokea kuhojiwa na kamati kuu na siyo sababu ya ubunge wa viti maalum.!

2. Wameambiwa wanaweza kuandika barua ya kuomba radhi ili warejeshewe uanachama wao.!

3. Ndani ya siku 30 wanaweza kukata rufaa kwa kupinga hukumu ya kamati kuu kwenye baraza kuu la chadema.!

4. Chadema iliwaandikia barua mara mbili kuwabembeleza wafike kuhojiwa na kamati kuu pia kamati kuu ililazimika kubadili eneo la kuwahoji kutoka makao makuu ya chadema hadi kwenye hoteli ya kitalii ili kulinda usalama wao.!

Mtu ambaye ni msaliti unaweza kumbembeleza kwa kumwandikia barua mbili na hadi kuingia gharama za kukodi hoteli ili kumuhoji?

Ni vipi msaliti aruhusiwe kuandika barua ya kuomba radhi tu na atarudishiwa uanachama wake?

Mbona Zito Kabwe na Kitila Mkumbo wakati wanafukuzwa hawakupewa nafasi ya kuomba radhi na kurudishiwa uanachama wao?

Hapa kuna sinema inachezwa na ndani ya siku 30 tutaona matokeo yake, kama mtu alikuwa tayari kutengeneza igizo la kuangushwa na konyagi na kisha kusingizia wasiojulikana, hapa kuna mengi yanakuja.
Punguza chumvi, lini chadema wamefanya kikao ofisini kwao zaidi ya mahotelini
 
Baada ya kusikiliza kile kilichoitwa maamuzi ya kikao cha kamati kuu haya ndiyo nimejionea.

1.Wamevuliwa uanachama wa Chadema kwa sababu hawajatokea kuhojiwa na kamati kuu na siyo sababu ya ubunge wa viti maalum.!

2. Wameambiwa wanaweza kuandika barua ya kuomba radhi ili warejeshewe uanachama wao.!

3. Ndani ya siku 30 wanaweza kukata rufaa kwa kupinga hukumu ya kamati kuu kwenye baraza kuu la chadema.!

4. Chadema iliwaandikia barua mara mbili kuwabembeleza wafike kuhojiwa na kamati kuu pia kamati kuu ililazimika kubadili eneo la kuwahoji kutoka makao makuu ya chadema hadi kwenye hoteli ya kitalii ili kulinda usalama wao.!

Mtu ambaye ni msaliti unaweza kumbembeleza kwa kumwandikia barua mbili na hadi kuingia gharama za kukodi hoteli ili kumuhoji?

Ni vipi msaliti aruhusiwe kuandika barua ya kuomba radhi tu na atarudishiwa uanachama wake?

Mbona Zito Kabwe na Kitila Mkumbo wakati wanafukuzwa hawakupewa nafasi ya kuomba radhi na kurudishiwa uanachama wao?

Hapa kuna sinema inachezwa na ndani ya siku 30 tutaona matokeo yake, kama mtu alikuwa tayari kutengeneza igizo la kuangushwa na konyagi na kisha kusingizia wasiojulikana, hapa kuna mengi yanakuja.
Umepaniki, kunywa maji baridi kwa wingi, ni dawa!
 
Leo Chadema imetoa uamuzi wa kuwapa wabunge wake 19 wa viti maalum nafasi ya kuomba msamaha ili waendelee kuwa wanachama.

Katika tamko lao, hawajakaripia wala kujitenga na mbunge wa Nkasi Kaskazini Aida Khenan.

Hapo awali, Chadema ilitoa amri kwa Aida Khenan kutokushiriki Bunge. Hata hivyo, Aida alihudhuria Bunge, akaapishwa sambamba na wabunge wengine.

Leo, ilikuwa ni fursa kwa Chadema kutoa kauli juu ya Ubunge wa Aida iwapo ingekuwa haiutambui. Ukimya wa Kamati Kuu ya Chadema, umetuma ujumbe rasmi kuwa Chadema imelegeza msimamo wake juu ya mbunge huyo.

Kwahiyo, mahesabu ya wabunge ya Chadema mpaka sasa ni 20 (mmoja anatambuliwa, 19 wamepewa nafasi ya kuomba msamaha)
Maigizo tu hayo. Hapo viongozi wamewahiwa kupeleka majina ya watu wao.

Hakika, ngoma inaenda mahakamani na kesi itakuja kuisha 2024/ 2025 mchezo umeisha. Hauwrzi kusema mbona kesi imechukua muda mrefu wakati za akina TUNDU zinaenda mwaka wa 6 na hakuna mwendelezo. Ndio maisha hayo
 
Sasa nawewe mkuu inaonekana akili yako kama inatia mashaka.
Yani msiba utokee kwa CDM halafu Masikitiko yatokee kwa CCM!
Sasa mpaka sasahivi Kati ya CCM na CDM Nani kapoteza?

Halima mdee na wenzake 19 kwenye chama umhimu wao ni mkubwa Sana kuliko vijana wa ufipa wote waliopo huku Jf.

Ila sikushangai maana ndo akili zenu.
Tatizo ni pale mnapolia kuliko wafiwa!
 
Mke wa Makamu Mwenyekiti Salum Mwalimu, Mke wa Naibu Katibu Bensom Kigaila, Mke wa Kada Maarufu aliekuwa anazunguka na Lissu Binamu bananga ane kala viti Maalum, Nusrat Hanje nae kapiganiwa

Mchezo wa viti maalum ilikuwa mchezo wa kupigana timing, safari hii Wanawake wa Kichaga kina Lucy Kihwelu wamepigwa Mtama
Kwahiyo ugomvi ni nani achukue viti, sio uhalali wa viti...
 
Pale mataga yanapofarijiana
Mkuu umeongea logic Sana na sidhani Kama Hawa nyumbu wa ufipa watakuelewa.

Ni Rais Sana kuwa kiongozi wa CDM maana Ina wanachama na Wapambe wengi ambao hawaijui siasa Bali bendera fuata upepo tu.

Ilichokifanya leo kamati kuu ni sawa na Mke Aliemnunia mme wake halafu akamwambia nakupa nafasi ya kuniomba msamaha ili uendelee kuwa mme Wangu.

Hii ndo CDM ninayoijua Mimi
 
Huyo sio tatizo, baada ya kumaliza furaha ya kuzawadiwa ubunge, kwa kauli zake anaonyesha kuwa karibu (mwenyewe) ataunga mkono juhudi. Na tunamtakia kila la heri.
 
Kesi ya Aida Khenan iko tofauti sana na hawa 19...

Nina hakika hata huyo naye hatua zitachukuliwa...

Hawa wanawake walichofanya ni "sabotage" kwa chama...

Hawa wameingizwa na baadhi ya watu ktk dola (system) kwa kushirikiana (pengine) na viongozi wachache ndani ya chama kutenda makosa mbalimbali ya kijinai ikiwemo kosa la kughushi ili mradi wawe wabunge...

Hii ni mbaya sana..

Aida Khenan yupo kwa mchakato halali ndani ya chama. Alipata approval ya chama na amekuwa mbunge. Bahati mbaya tu ni kuwa mchakato wa uchaguzi uliharibiwa na hapo ndipo lilipo tatizo...

Huyu watashughulika naye kwa mashauriano na kuelimishana na kufikia mwafaka. Kama anakipenda na kukithamini chama kilichompa platform, ataelewa na kuweka maslahi ya chama na wanachama mbele kuliko maslahi yake binafsi...
 
Kesi ya Aida Khenan iko tofauti sana na hawa 19...

Nina hakika hata huyo naye hatua zitachukuliwa...

Hawa wanawake walichofanya ni "sabotage" kwa chama...

Hawa wameingizwa na baadhi ya watu ktk dola (system) kwa kushirikiana (pengine) na viongozi wachache ndani ya chama kutenda makosa mbalimbali ya kijinai ikiwemo kosa la kughushi ili mradi wawe wabunge...

Hii ni mbaya sana..

Aida Khenan yupo kwa mchakato halali ndani ya chama. Alipata approval ya chama na amekuwa mbunge. Bahati mbaya tu ni kuwa mchakato wa uchaguzi uliharibiwa na hapo ndipo lilipo tatizo...

Huyu watashughulika naye kwa mashauriano na kuelimishana na kufikia mwafaka. Kama anakipenda na kukithamini chama kilichompa platform, ataelewa na kuweka maslahi ya chama na wanachama mbele kuliko maslahi yake binafsi...
Sasa hawa wanaosemwa kuwa wamefanya jinai, ni kwanini wanaambiwa wakaombe msamaha kwenye chama? Jinai inaweza kutolewa msamaha na chama?
 
Sasa hawa wanaosemwa kuwa wamefanya jinai, ni kwanini wanaambiwa wakaombe msamaha kwenye chama? Jinai inaweza kutolewa msamaha na chama?
Absolutely, YES...

Ukiniibia hela yangu na kabla sijachukua hatua za kisheria (kukupeleka kwa Court of law) ukakimbia kuja kukubali na kukiri kosa lako kwangu, ukaomba msamaha na kisha kurejesha ulichoiba, basi kila kitu kitaishia pale...!

Kumbuka ukweli huu, UKIRI na KUKUBALI KOSA na kufuatiwa na UTUBU au KUOMBA MSAMAHA ni dawa yenye nguvu ya ajabu sana katika nafsi na roho ya mwanadamu...

Migogoro yote unayoiona na kuzaa maumivu na hasara kwa watu wengi, ni kwa sababu ya EGO & ARROGANCE characters za watu..

Hawataki na hawako tayari kukubali na kukiri/tubu dhambi/makosa yao na kudhamiria kuyaacha..

Kwa sababu ya ujinga huu, Mungu muumba wetu anatuacha tujiamgamize wenyewe...!!
 
Viongozi wa CDM na wanachama wake Wana swaga za kihuni Sana.

Wanawachukulia hatua Kali wabunge wa viti maalamu kwa sababu ya kutoutambua uchaguzi wa 28Oct2020 halafu wanamuacha Mbunge wao wa Nkasi Aendelee na Ubunge wake kwa bendera hiyohiyo ya CDM ambayo inasema haiutambui uchaguzi.

Ama kweli leo ndo nimeamini nyumbu ni nyumbu tu hata uitoe Serengeti na kuipeleka USA itabaki kuwa nyumbu tu.
Kinachoshangaza ni pale mnaotoa utopolo wa aina hii ni wanachama wa chama cha mauaji pekee.
 
Back
Top Bottom