Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Wakiomba msamaha watendelea na uanachama, ubunge watawaachia wake za mapolisi!Kwa hiyo hao 19 wakiomba msamaha ndiyo wanaendelea na ubunge au wanaomba msamaha na kujitoa ubunge?
Wakiomba msamaha watendelea na uanachama, ubunge watawaachia wake za mapolisi!Kwa hiyo hao 19 wakiomba msamaha ndiyo wanaendelea na ubunge au wanaomba msamaha na kujitoa ubunge?
Wake wa polisi gani?Wakiomba msamaha watendelea na uanachama, ubunge watawaachia wake za mapolisi!
Wabeba mabox!Wake wa polisi gani?
You can't be serious, your flow is deliriousWabeba mabox!
Jamaa unajua sayansi, Unafanya kazi duka la dawa, au maabara ya kupima maleria?!You can't be serious, your flow is delirious
Your ailment superior to viruses and bacteria
You contaminate the area, from Dar to Nigeria
Toxic carrier who knows no barrier
Wewe ngumbaru kwako kila kitu sayansi.Jamaa unajua sayansi, Unafanya kazi duka la dawa, au maabara ya kupima maleria?!
Senki yuu, msomii, senki yuu! But what kind of books do you want me to grab to understand your nonsense?! Dictionaries?!Wewe ngumbaru kwako kila kitu sayansi.
Grab a book or something you illiterate.
"How to Keep A Man And Get Married: Even as a 26th Wife"Senki yuu, msomii, senki yuu! But what kind of books do you want me to grab to understand your nonsense?! Dictionaries?!
Communication ni janga la taifa kwa viongozi wote, si kwamba nawatetea hawa, nataja fact tu.Very possible. However, kwenye communication strategy inatoa ujumbe tofauti. Kama hawazitambui nafasi, swala la walipoapishiwa halikutakiwa kuwaingiza gharama Chadema. They are going to pay lawyers to pursue a legal fight about it.
To know, to speak or write in English, does not make you illiterate or literate! You will not appear to be wise before anybody, just because you can formulate a sentence in English! Kuke itondo kita maringititi asee iva eefo! Even that is a language, but will benefit only those that understands it! So next time discus the topic, and stop boasting in English, which you are still struggling with!"How to Keep A Man And Get Married: Even as a 26th Wife"
You are not illiterate because you do not understand English.To know, to speak or write in English, does not make you illiterate or literate! You will not appear to be wise before anybody, just because you can formulate a sentence in English! Kuke itondo kita maringititi asee iva eefo! Even that is a language, but will benefit only those that understands it! So next time discus the topic, and stop boasting in English, which you are still struggling with!
Is this abusive language your superiority complex mindset?! Did you make any sensible argument that I need to read logically?!You are not illiterate because you do not understand English.
You are illiterate because you cannot read with comprehension and follow arguments logically.
That bullshit about English is just your inferiority complex speaking.
ExactlyCommunication ni janga la taifa kwa viongozi wote, si kwamba nawatetea hawa, nataja fact tu.
Walitakiwa kupinga kiujumla na kama kuna dramatic effect ya kuhusu garage, isi overshadow the principal objection, ya kupinga ubunge kwa ajili ya kupinga uchaguzi.
Otherwise watu wanaweza ku confuse au ku obfuscate kwamba kinachopingwa ni kuapishwa kwenye gereji, na kama wangeapishwa bungeni kusingekuwa na pingamizi.
In politics, you do not give your opponent even a slight chance to obfuscate, let alone a genuine opportunity to misunderstand.
Hahahaha.....naona vibwengu wa Lumumba mnabaďilishana mawazoMkuu umeongea logic Sana na sidhani Kama Hawa nyumbu wa ufipa watakuelewa.
Ni Rais Sana kuwa kiongozi wa CDM maana Ina wanachama na Wapambe wengi ambao hawaijui siasa Bali bendera fuata upepo tu.
Ilichokifanya leo kamati kuu ni sawa na Mke Aliemnunia mme wake halafu akamwambia nakupa nafasi ya kuniomba msamaha ili uendelee kuwa mme Wangu.
Hii ndo CDM ninayoijua Mimi
Marcopolo OG hajawahi kua mpuuzi kama weweLeo CHADEMA imetoa uamuzi wa kuwapa wabunge wake 19 wa viti maalum nafasi ya kuomba msamaha ili waendelee kuwa wanachama.
Katika tamko lao, hawajakaripia wala kujitenga na Mbunge wa Nkasi Kaskazini Aida Khenan.
Hapo awali, CHADEMA ilitoa amri kwa Aida Khenan kutokushiriki Bunge. Hata hivyo, Aida alihudhuria Bunge, akaapishwa sambamba na Wabunge wengine.
Leo, ilikuwa ni fursa kwa CHADEMA kutoa kauli juu ya Ubunge wa Aida iwapo ingekuwa haiutambui. Ukimya wa Kamati Kuu ya CHADEMA, umetuma ujumbe rasmi kuwa CHADEMA imelegeza msimamo wake juu ya Mbunge huyo.
Kwahiyo, mahesabu ya Wabunge ya CHADEMA mpaka sasa ni 20 (mmoja anatambuliwa, 19 wamepewa nafasi ya kuomba msamaha)
Point yako haijaeleweka..Marcopolo OG hajawahi kua mpuuzi kama wewe
Hapo ndipo itakua kwamba chadema ni wasanii,wanapambana na kivuli ChaoLeo, ilikuwa ni fursa kwa CHADEMA kutoa kauli juu ya Ubunge wa Aida iwapo ingekuwa haiutambui. Ukimya wa Kamati Kuu ya CHADEMA, umetuma ujumbe rasmi kuwa CHADEMA imelegeza msimamo wake juu ya Mbunge huyo.
Spika wa Bunge leo amewauliza, "mbona wanajadili hao 19 tu? Huyu wamemgwaya?"Hapo ndipo itakua kwamba chadema ni wasanii,wanapambana na kivuli Chao
Walitakiwa wamfukuze na huyo Aida