Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,143
Yawataka wanaotaka kugombea Urais wafuate Sheria,Kanuni na Taratibu za chama kinyume na hapo wote wataenguliwa kutoka katika mchakato wa kichama. Ni Nape Nnauye tena aliyeibuka na tamko hili baada ya kunukuliwa na vyombo vya habari hapa nchini akisema kuwa Januari Makamba hakuwa amevunja taratibu zozote kutangaza nia ya kuutaka urais mapema. Pia,Kamati Kuu imeiagiza Sekretarieti kuchambua utekelezaji wa adhabu ya akina Lowassa,Wassira na Ngeleja.
Kutoka CCM,cha kushika ni tabu sana. Kila siku kuna kauli mpya na lengo jipya. Ngumu kupata uelewa
Chanzo: DW Radio (George Njogopa)
Kutoka CCM,cha kushika ni tabu sana. Kila siku kuna kauli mpya na lengo jipya. Ngumu kupata uelewa
Chanzo: DW Radio (George Njogopa)