Kamati Kuu (CCM) yawaonya wataka urais

Kamati Kuu (CCM) yawaonya wataka urais

Hiyo Kamati Kuu ya CCM niya mwaka gani katika msingi wa Katiba ya CCM ya mwaka gani?.

Unapotaka kuleta hoja ambazo zinabebwa na documents, jaribu kufanya homework kabla ya kuibuka hapa Jamiiforums.

Nani amekuambia Kamati Kuu ya CCM ina wajumbe 14?.

Are you BAVICHA in making?

Mungu akubariki sana
 
Hiyo Kamati Kuu ya CCM niya mwaka gani katika msingi wa Katiba ya CCM ya mwaka gani?.

Unapotaka kuleta hoja ambazo zinabebwa na documents, jaribu kufanya homework kabla ya kuibuka hapa Jamiiforums.

Nani amekuambia Kamati Kuu ya CCM ina wajumbe 14?.

Are you BAVICHA in making?
kama kuna mabadiliko ya wajumbe nielekeze au sema hapa ili tujadili mkuu
 
Kwenye hiyo kamati kuna mafisadi papa watatu wamesimamishwa hivi karibuni japo hata hao waliobaki ni mafisadi wa kutisha.
 
nyamemba

Yani mi sipendi watu wa aina hii,kwanini uanzishe uzi ambao wewe mwenyewe unaishia tu kuuliza maswali?
 
Last edited by a moderator:
kama kuna mabadiliko ya wajumbe nielekeze au sema hapa ili tujadili mkuu
Ndugu,

Kwani wewe umeleta orodha inayobebwa na Katiba ya mwaka gani?

Msingi wa hoja yako haukuwa ni kutaka kufahamishwa bali ulikuwa ni kutufundisha sisi tusiofahamu namna ambavyo anapatikana mgombea Urais kupitia CCM.

Ninakushangaa unapoanza tena kutuomba tukusaidie katika hoja yako.

Ndiyo maana nimekuuliza, are you bavicha in making?
 
Kama hamjui wajumbe jamani msilete hoja hapa kwa sababu ya mtu flani. Get to know things in detail alafu ndo ulete humu. Na kama hujui ni uende ccm watakuambi kamati kuu wako wangapi. Alafu pia unaletaje hoja ambayo mwishowe unatuuliza tena maswali.!? Komaza akili dogo and go deep in an issue before you bring it to the forum.
 
Hiyo Kamati Kuu ya CCM niya mwaka gani katika msingi wa Katiba ya CCM ya mwaka gani?.

Unapotaka kuleta hoja ambazo zinabebwa na documents, jaribu kufanya homework kabla ya kuibuka hapa Jamiiforums.

Nani amekuambia Kamati Kuu ya CCM ina wajumbe 14?.

Are you BAVICHA in making?

Mwanadiwani weeeee!!! hebu waonyeshe wana JF kwamba wewe unastahili kuwa JF Gold member; dont be part of the problem; go a mile further and be part of the solution!
Kushutumu na kukebehi au kuwaita watu majina bila kutoa maelezo au jibu sahihi kunapunguza hadhi ya hii title; JF Gold member!
Japo umeingilia kwa jazba kidogo; bado ninahisi una ufahamu wa kina kuhusu kilichoandikwa! sasa tusaidie; go ahead; twambie composition ya CC ya CCM; ina wajumbe wangapi; ni kina nani etc etc ; tuhabarishe bwana usiishie tu kutukashifu kisha ukaingia mitini! hilo si suluhisho na unawakwaza wengine bila sababu! usiwe mbinafsi; kwani hakuna mtu mwenye hodhi (Monopoly) ya Ilimu au habari na taarifa; wewe mwenyewe included!! Dont expose your self to unneccessary jibes; wewe ni JF Gold member Mwanadiwani weeeee!!
 
  • Thanks
Reactions: 999
Kama unajua chochote huzuiwi kumwelewesha mtoa uzi! Hizi blah blah zako hazitusaidii tunaotaka kujifunza. Mleta mada kaleta hoja chokonozi, na hiyo ndio style aliyoamua kuitumia ili kupata mchango wako wewe mjuzi wa mambo. Sasa nawewe unaanza kwenda kwenye circles hizo hizo. Au nawewe hujui ila unataka kuzima mada kijanja janja?
Ndugu,

Kwani wewe umeleta orodha inayobebwa na Katiba ya mwaka gani?

Msingi wa hoja yako haukuwa ni kutaka kufahamishwa bali ulikuwa ni kutufundisha sisi tusiofahamu namna ambavyo anapatikana mgombea Urais kupitia CCM.

Ninakushangaa unapoanza tena kutuomba tukusaidie katika hoja yako.

Ndiyo maana nimekuuliza, are you bavicha in making?
 
  • Thanks
Reactions: 999
Majina ya wajumbe saba wa kamati kuu (CC) ya CCM kutoka Bara ni:
1. Pindi Chana
2. Adam Kimbisa
3. William Lukuvi
4. Dk. Emmanuel Nchimbi
5. Jerry Slaa
6. Prof. Anna Tibaijuka
7. Stephen Wassira

Kutoka Zanzibar, wajumbe saba katika CC ya CCM ni:
1. Shamsi Vuai Nahodha
2. Dk. Hussein Mwinyi
3. Prof. Makame Mbarawa Mnyaa
4. Dk. Salim Ahmed Salim
5. Dk. Maua Daftari
6. Samia Suluhu Hassan
7. Hadija H. Aboud

Kwa utaratibu wa CCM, wajumbe wa CC ndiyo wenye rungu la kuchuja majina ya wagombea wote wa urais kupitia chama hicho ambapo mwishowe hupeleka majina ya mwisho ya wale wote wenye sifa kwenye mkutano wa halmashauri kuu (NEC) ili hatimaye kubaki na mgombea mmoja anayepeperusha bendera ya chama hicho wakati wa uchaguzi mkuu.

Hivyo, ni wajumbe hawa 14 ndiyo watakaoamua hatma ya wagombea urais wa CCM, kwani wanao uwezo wa kufyeka jina la mgombea yeyote kwa sababu watakazoona kuwa zinafaa wakati wa mchakato wa uchaguzi mkuu wa 2015 utakapoanza kwa kusaka wagombea ndani ya vyama, kikiwamo CCM .Kwa muktadha huo ni nini hatma ya mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzuru?

Vipi kuhusu ushawishi wa Mkuu wa kaya JK juu ya kamati hii katika kupitisha jina la mgombea urais kwa tiketi ya CCM? ni nani yupo kwa nani na kwa nini?

Nini msimamo/uthabiti wa kila mjumbe linapokuja suala la hela? Mathalani kuhongwa ili apitishe jina fulani?

Tujadili.


Mkuu, hapo kamati kuu ya ccm haijakamilika. Kuna wale wanaoingia kwa nafasi zao kama wenyeviti wote wa jumuiya za ccm - Umoja wa vijana, Wazazi, UWT. Then kuna wajumbe wa secretariat ya ccm - Kinana, Nape, Mwigulu. Ongeza Makamu Mwenyekiti wa bara na Zanzibar. Ina maana humo yumo Sophia Simba mtu wa Lowassa haswa. Nadhani kuna wajumbe wengine zaidi
 
Majina ya wajumbe saba wa kamati kuu (CC) ya CCM kutoka Bara ni:
1. Pindi Chana
2. Adam Kimbisa
3. William Lukuvi
4. Dk. Emmanuel Nchimbi
5. Jerry Slaa
6. Prof. Anna Tibaijuka
7. Stephen Wassira

Kutoka Zanzibar, wajumbe saba katika CC ya CCM ni:
1. Shamsi Vuai Nahodha
2. Dk. Hussein Mwinyi
3. Prof. Makame Mbarawa Mnyaa
4. Dk. Salim Ahmed Salim
5. Dk. Maua Daftari
6. Samia Suluhu Hassan
7. Hadija H. Aboud

Kwa utaratibu wa CCM, wajumbe wa CC ndiyo wenye rungu la kuchuja majina ya wagombea wote wa urais kupitia chama hicho ambapo mwishowe hupeleka majina ya mwisho ya wale wote wenye sifa kwenye mkutano wa halmashauri kuu (NEC) ili hatimaye kubaki na mgombea mmoja anayepeperusha bendera ya chama hicho wakati wa uchaguzi mkuu.

Hivyo, ni wajumbe hawa 14 ndiyo watakaoamua hatma ya wagombea urais wa CCM, kwani wanao uwezo wa kufyeka jina la mgombea yeyote kwa sababu watakazoona kuwa zinafaa wakati wa mchakato wa uchaguzi mkuu wa 2015 utakapoanza kwa kusaka wagombea ndani ya vyama, kikiwamo CCM .Kwa muktadha huo ni nini hatma ya mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzuru?

Vipi kuhusu ushawishi wa Mkuu wa kaya JK juu ya kamati hii katika kupitisha jina la mgombea urais kwa tiketi ya CCM? ni nani yupo kwa nani na kwa nini?

Nini msimamo/uthabiti wa kila mjumbe linapokuja suala la hela? Mathalani kuhongwa ili apitishe jina fulani?

Tujadili.

Samahani naomba nikukumbushe kidogo, mgombea wa urais kupitia ccm huwa anapitishwa na mkutano mkuu wa ccm na sio kamati kuu, kamati kuu kazi yake ni kupitisha majina matano ya wagombea then inayapeleka kwa NEC then NEC inateua majina matatu na kuyapeleka kwa mkutano mkuu then mkutano mkuu inateua jina moja. Kuhusu swala LA mbunge wa monduli, yeye ndiye atakua mshindi wa kinyang'anyiro hiki kwani 90% ya wanaccm wanaikubali sana kazi yake ya kizalendo
 
Dah afadhali mkuu nawe umeliona hilo! Mtu kama unafahamu jambo si vyema kukashifu wenzio wasiojua, ila inabidi uchukue jukumu la kuwaelewesha!
Mwanadiwani weeeee!!! hebu waonyeshe wana JF kwamba wewe unastahili kuwa JF Gold member; dont be part of the problem; go a mile further and be part of the solution!
Kushutumu na kukebehi au kuwaita watu majina bila kutoa maelezo au jibu sahihi kunapunguza hadhi ya hii title; JF Gold member!
Japo umeingilia kwa jazba kidogo; bado ninahisi una ufahamu wa kina kuhusu kilichoandikwa! sasa tusaidie; go ahead; twambie composition ya CC ya CCM; ina wajumbe wangapi; ni kina nani etc etc ; tuhabarishe bwana usiishie tu kutukashifu kisha ukaingia mitini! hilo si suluhisho na unawakwaza wengine bila sababu! usiwe mbinafsi; kwani hakuna mtu mwenye hodhi (Monopoly) ya Ilimu au habari na taarifa; wewe mwenyewe included!! Dont expose your self to unneccessary jibes; wewe ni JF Gold member Mwanadiwani weeeee!!
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Hiyo Kamati Kuu ya CCM niya mwaka gani katika msingi wa Katiba ya CCM ya mwaka gani?.

Unapotaka kuleta hoja ambazo zinabebwa na documents, jaribu kufanya homework kabla ya kuibuka hapa Jamiiforums.

Nani amekuambia Kamati Kuu ya CCM ina wajumbe 14?.

Are you BAVICHA in making?

Wewe ngoja tu mamvimvi aingie madarakani. Ni lazima akukekete live. Kibaraka wa akina Gurumo wee!!!
 
Mkuu, hapo kamati kuu ya ccm haijakamilika. Kuna wale wanaoingia kwa nafasi zao kama wenyeviti wote wa jumuiya za ccm - Umoja wa vijana, Wazazi, UWT. Ina maana humo yumo Sophia Simba mtu wa Lowassa haswa. Nadhani kuna wajumbe wengine zaidi
nimekusoma Mkuu
 
BREAKING NYUZZZZZ.....: Majina ya Wajumbe 14 wa Kamati Kuu CCM yatajwa mjini Dodoma


Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi katika kikao chake cha siku mbili Februari 10 na 11, 2013 kilichofanyika mjini Dodoma, pamoja na mambo mengine kimeridhia uteuzi na kufanya uchaguzi wa Wajumbe 14 wa Kamati Kuu yake.

Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imeridhia uteuzi wa Dokta Salim Ahmed Salim kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu kupitia nafasi 10 za uteuzi wa Mwenyekiti wa CCM.-

Wajumbe 14 waliochaguliwa kuwa wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ni:-

Wajumbe wa Kamati Kuu - Bara
1. Ndugu Pindi Chana
2. Ndugu Adam Kimbisa
3. Ndugu William Lukuvi
4. Dokta Emmanuel Nchimbi
5. Ndugu Jerry Slaa
6. Profesa Anna Tibaijuka
7. Ndugu Stephen Wassira

Wajumbe wa Kamati Kuu - Zanzibar.
1. Ndugu Shamsi Vuai Nahodha
2. Ndugu Hussein Mwinyi
3. Profesa Makame Mbarawa Mnyaa
4. Dokta Salim Ahmed Salim
5. Ndugu Maua Daftari.
6. Ndugu Samia Suluhu Hassan
7. Ndugu Hadija H. Aboud

MUHIDIN MICHUZI at T
 
Tangu kuumbwa kwa dunia,haijawah kutokea miez 6 kabla ya uchaguzi ccm hawajajua nan mgombea uraisi...ni ishara tosha hali ni mbaya na ni dola inayoenda kuanguka.
 
Back
Top Bottom