Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Wapendwa nimeona niwa-alert kwa wale wanaopenda kugonga gahawa asubuhi asubuhi,
Nilikua manyanya pale, Vijana wote wapiga debe na hata wale waliokuwa wanapata gahawa ili kusubiri Usafiri au kuvuta pumzi kidogo wamekamatwa na ukizingatia leo ni Ijumaa ina maana kutoka huko ni Jumatatu.
Hata hivyo, binafsi sijaona umuhimu wa kuwakamata hawa wanaotumia Madawa ya kulevya huku ukiwaacha Wauzaji. Kwanini wasingekamata wauzaji ili hawa vijana wakose madawa? Sijui
Nilikua manyanya pale, Vijana wote wapiga debe na hata wale waliokuwa wanapata gahawa ili kusubiri Usafiri au kuvuta pumzi kidogo wamekamatwa na ukizingatia leo ni Ijumaa ina maana kutoka huko ni Jumatatu.
Hata hivyo, binafsi sijaona umuhimu wa kuwakamata hawa wanaotumia Madawa ya kulevya huku ukiwaacha Wauzaji. Kwanini wasingekamata wauzaji ili hawa vijana wakose madawa? Sijui