Kamanda wa Malawi aapa kulinda Ziwa Malawi

Kamanda wa Malawi aapa kulinda Ziwa Malawi

Kama ni haki yao wapewe. Ubabe na maneno ya fedhuli hayasaidii
Ramani uliyoitumia darasani iliwahi kukuonesha kuwa Lake Nyasa lote ni la Malawi?

Kama uliwahi iona basi sawa. Ila kama uliyoisoma na kuiona ni sawa na tuliyoiona na kuitumia darasani sisi...hawana chao. Waambie hawana chao. Wabaki na sehemu yao kama inavyoonekana tangu zamani.

Hawana tofauti na jirani anayesogeza mpaka wa kiwanja kila uchao kwa kusogea kidogo kidogo mwisho wa siku kafika hadi miguu 2 au 3.

Akileta fyokofyoko achapwe. Over.
 
kesi ipelekwe kwa wakoloni walioweka mipaka la sivyo kila nchi ina madai na nchi jirani
 
huyu chibolo na mtu wa pwani ndio watu wanaopelekea akina M. Melo kupotezewa muda kutokana na ujinga wao wa kupayuka tu.
 
Kwa kawaida kelele za jirani haziwezi kumkosesha mwenye nyumba usingizi. Mipaka ya kwenye maji, bahari, mito na maziwa ina formular yake ya calculating, hivyo waacheni Wamalawi wajifurahishe tuu, mwisho wa siku mpaka ni pasu kwa pasu kama ulivyowekwa na ule mkutano wa Berlín wa 1884 na sio mkataba wa Hellingoland kwa sababu Waingereza walikabidhiwa Tanganyika just as a protectorate na sio colony, huwezi kumega kipande cha kitu cha dhamana na kukimegea koloni lako.

Paskali
you are correct.
 
Kwa kawaida kelele za jirani haziwezi kumkosesha mwenye nyumba usingizi. Mipaka ya kwenye maji, bahari, mito na maziwa ina formular yake ya calculating, hivyo waacheni Wamalawi wajifurahishe tuu, mwisho wa siku mpaka ni pasu kwa pasu kama ulivyowekwa na ule mkutano wa Berlín wa 1884 na sio mkataba wa Hellingoland kwa sababu Waingereza walikabidhiwa Tanganyika just as a protectorate na sio colony, huwezi kumega kipande cha kitu cha dhamana na kukimegea koloni lako.

Paskali
Ni kweli lkn wao wanang'ang'ania makubaliano waliyoyafanya OAU kuwa nchi zote zifuate mipaka ya mwisho iliyochorwa na wakoloni mchoro unaoonyesha ziwa lote ni la malawi. Makubaliano yalisainiwa na mwl nyerere.
 
Ramani uliyoitumia darasani iliwahi kukuonesha kuwa Lake Nyasa lote ni la Malawi?

Kama uliwahi iona basi sawa. Ila kama uliyoisoma na kuiona ni sawa na tuliyoiona na kuitumia darasani sisi...hawana chao. Waambie hawana chao. Wabaki na sehemu yao kama inavyoonekana tangu zamani.

Hawana tofauti na jirani anayesogeza mpaka wa kiwanja kila uchao kwa kusogea kidogo kidogo mwisho wa siku kafika hadi miguu 2 au 3.

Akileta fyokofyoko achapwe. Over.
Wanafuata makubaliano ya OAU kuwa mipaka ya wakoloni iheshimiwa kwa sab ya kuondoa migogoro ya mipaka iliyokuwa inajitokeza mara kwa mara mkataba ambao Nyerere aliusaini kikamilifu hivyo according to that mkataba ziwa ni lao lkn kuna mkataba mwingine wa umoja wa mataifa unaosema nchi zinazopakana na eneo la maji basi maji hayo yagawanywe nusu kwa nusu. Sasa ugomvi upo mkataba gani utumike kwenye mzozo wetu kati ya ule wa OAU au UN
 
Kwa kawaida kelele za jirani haziwezi kumkosesha mwenye nyumba usingizi. Mipaka ya kwenye maji, bahari, mito na maziwa ina formular yake ya calculating, hivyo waacheni Wamalawi wajifurahishe tuu, mwisho wa siku mpaka ni pasu kwa pasu kama ulivyowekwa na ule mkutano wa Berlín wa 1884 na sio mkataba wa Hellingoland kwa sababu Waingereza walikabidhiwa Tanganyika just as a protectorate na sio colony, huwezi kumega kipande cha kitu cha dhamana na kukimegea koloni lako.

Paskali
mzalendo,asante sana
 
Wanafuata makubaliano ya OAU kuwa mipaka ya wakoloni iheshimiwa kwa sab ya kuondoa migogoro ya mipaka iliyokuwa inajitokeza mara kwa mara mkataba ambao Nyerere aliusaini kikamilifu hivyo according to that mkataba ziwa ni lao lkn kuna mkataba mwingine wa umoja wa mataifa unaosema nchi zinazopakana na eneo la maji basi maji hayo yagawanywe nusu kwa nusu. Sasa ugomvi upo mkataba gani utumike kwenye mzozo wetu kati ya ule wa OAU au UN
kati ya UN na OAU ni Ipi taasisi kubwa?
Waguse waone!
 
Mwenye Enzi Mungu atuongoze milele yote Amen RA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom