Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,358
Kweli Mtela na Shonza ni majembe, yani wameua kabisa u-CHADEMA huko Mbeya.
Kweli wewe hamy d!!! Full pumba
Last edited by a moderator:
Kweli Mtela na Shonza ni majembe, yani wameua kabisa u-CHADEMA huko Mbeya.
ina maana jamaa kapigwa mswaki?? au ndio hii move mpya ya kuifanya JF kuwa unreliable source ya info kwa kuleta mafamba?
Ingawa zilipigwa 'promosheni' za muda mrefu huko kata ya Iyela jijini Mbeya kuwa kutakuwa na mkutano wa kamanda wa anga, bwana Mbowe..!!
Lakini leo ilikuwa ni aibu kubwa kwa Mbowe kwani alionekana kuhutubia miti huku watu wengi wakionekana kuendelea na shughuli zao kama hakuna kinacho endelea.
Kamanda wa anga kwa kujikaza na aibu hiyo, aliendelea tu kuhutubia miti huku watu wakiwa wachache, pia sura yake haikuwa yenye furaha kabisa kutokana na mwitikio mdogo wa watu kwenye mkutano wake, aidha, ilikuwa ni fedhea kubwa kwa bwana Mbowe.
Baada ya kumaliza kupiga makelele yake jukwaani alielekea ofisi ya kata ya Iyela huku msafara wake ukiwa umetawaliwa na watoto wa shule ya msingi ambao hawakuwa wanajua chochote.
Pole kamanda wa anga.
Umepotoka sana. wewe uko bungeni. hivi ukileta hoja bungeni ambayo ina utata, spika huwa anakuambiaje? Ni wajibu wa spika kuleta ushahidi?Kuna njia 2 tu za ku-prove ukweli, moja kwa aliyesema kuthibitisha ama kwa alityesemwa kuleta ushahidi wa ukweli kupinga ule uongo wa awali...sasa wa Chadema Iyela watuletee hapa ushahidi
Hao watoto wa shule za msingi walikuwa wanaenda shule Jumapili???
Watu wengine hata akili za funza kula kinyesi hawana itakuwa akili ya mende kujificha gizani?
Ta fa ka ri
Nasikia Mtela ameishapita huko sasa ulitegemea nini
Watu wameisha jitambua,
Ukali wa viroba hautakaa milele vichwani mwa makamanda, taratibu wanaanza kujitambua