saronga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 909
- 218
Mkuu punguza ukali kwa huyu Msaidizi wa Prezdaa kule Tokyo, inawezekana na yeye hajui alifanyalo ni ushabiki wake tu wa kitoto ndo umemsukuma kujadili UDAKU badala ya kujikita kwenye Post zinazohitaji wachambuzi mahiri. Ila hizi za uso ulizompatia nafikiri zitamrudisha kwenye mstari
Mh. MP, thread aina hii siyo saizi yako, waachie hao vijana wanaohangaikia buku seven ndo washughulike nazo. Mtu km wewe unapowashabikia halafu baadae ushahidi ukaletwa na thread kuonekana ni ya uzushi, itakushushia heshima ya uheshimiwa wako bure. Wewe ni mtu wa kujadili hoja, siyo vioja au udaku.