Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 855
- 1,224
Hopeful hawa watakuwa wana CCM, maana namuona Nape, Mwigulu, Shonza na Mtela hapa
http://www.facebook.com/photo.php?fbid=348152788647700&set=gm.541862969206646&type=1&theater
Hopeful hawa watakuwa wana CCM, maana namuona Nape, Mwigulu, Shonza na Mtela hapa
Naskia idadi kubwa waliohudhuria walikuwa wamegonga viroba
Naskia idadi kubwa waliohudhuria walikuwa wamegonga viroba
Nasikia Mtela ameishapita huko sasa ulitegemea nini
Watu wameisha jitambua,
Ukali wa viroba hautakaa milele vichwani mwa makamanda, taratibu wanaanza kujitambua
Kuna njia 2 tu za ku-prove ukweli, moja kwa aliyesema kuthibitisha ama kwa alityesemwa kuleta ushahidi wa ukweli kupinga ule uongo wa awali...sasa wa Chadema Iyela watuletee hapa ushahidi
mtela huyu huyu! Kweli nimeamini kuishi ulaya sio suluhisho la kuepukana na ujinga,umaskini,njaa..bila kusahau maradhi ya kufikiri
I think you are exposing yourself too much, hivi leo nikisema wewe ni mwizi, ni wewe unayetakiwa kuthibitisha au ni mimi niliyetoa kauli ndiye mstahili wa uthibitisho?Kuna njia 2 tu za ku-prove ukweli, moja kwa aliyesema kuthibitisha ama kwa alityesemwa kuleta ushahidi wa ukweli kupinga ule uongo wa awali...sasa wa Chadema Iyela watuletee hapa ushahidi
Mleta mada kasema idadi ya walio hudhuria ni wanafunzi wa shule za msingi (tunafahamu J2 hakuna masomo). Halafu wewe unasema Idadi kubwa ya walio hudhuria walikuwa wamegonga viroba!!!!Naskia idadi kubwa waliohudhuria walikuwa wamegonga viroba
I think you are exposing yourself too much, hivi leo nikisema wewe ni mwizi, ni wewe unayetakiwa kuthibitisha au ni mimi niliyetoa kauli ndiye mstahili wa uthibitisho?
i dont know why ila naona unakua kama hadija kopa taratiiiibu? Wewe ni msomi, approach hii matter kisomi au kaa kimya, unatuaibisha
Siasa kweli mtihani leo kule kesho huku,kweli mbowe ni mtu wa kukosa watu kwenye mkutano kweli siasa pata potea.
ujinga mzigo hatawewe?
Kuna njia 2 tu za ku-prove ukweli, moja kwa aliyesema kuthibitisha ama kwa alityesemwa kuleta ushahidi wa ukweli kupinga ule uongo wa awali...sasa wa Chadema Iyela watuletee hapa ushahidi