Na zile kumbi za starehe vp wamelipoti au kwa mbowe k ndio kiko kikubwa na kwa mbaaaaaali na mwona kasimu anapingana na ule utaratibu Wa madereva anapinga watu kutangazwa na vyombo vya habariVipi na yale makampuni ya mafuta yaliyoandikwa yanaingiza unga kwenye kuagiza mafuta? vituo vyao vimefungiwa?
Kama wanaingiza unga kwa kutumia meli,je hao na kina Manji na Wema aliyekamatwa na msokoto mmoja kwa matumizi,wapi hatari?
Kunatumika nguvu kubwa ya maneno na matendo kuhusu kutaka kumkamata Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,Freeman Mbowe. Mbowe alipotajwa na Makonda na kuitwa Central Police,alikosoa uhalali wa kutajwa na kuitwa kwake kule Dodoma. Hakwenda.
Akataka utaratibu wa kisheria ufuatwe. Utaratibu wenyewe ni mwepesi tu,ni kuandika wito wa kumwita kwake na kumfikishia. Basi. Wapi pagumu katika utaratibu huo? Mambo ya kumwita mtanzania kupitia runinga na kumwaga mikwara ya kutosha na kutisha si madogo.
Hakuna anayepinga mtanzania au mgeni yeyote kukamatwa au kuitwa na kuhojiwa. Kila mmoja wetu anatamani utaratibu ufuate. Kwanini media itumike hadi kufunika utaratibu? Kwani,kuna ajenda gani dhidi ya Mbowe wa CHADEMA? Kadiri mikwara inavyozidi ndivyo inference ya kwamba hakuna jema inavyopata mshiko.
Mwafaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Pengine kuna nia mbaya/ovu nyuma yake, kwamba kwanza tengeneza sintofahamu ya kutosha kupitia media ili akifika/fikishwa kituoni majibu ya mkemia mkuu yawe tayari kuthibitisha kuwa ni chanya (bila kujali alikunywa kiroba, valium, heroin, bangi nk)! Mwisho wake sauti itasikika mpaka mwisho wa dunia kuwa kumbe "kaka Mbowe teja"!!! Mpaka aje kujisafisha na uchaguzi 2020 utakuwa ulishapita kitambooooo!
Mahakama ya Lumumba. Si ajabu hilo.Akitoka mafichoni itajulikana.lakini mpaka sasa baada ya kuzima simu na kujificha ,amekiri kosa
joined yesterday!Kwa hizi akili hata barabara huwezi kuvuka mwenyewe
I still smell a rat
Mzee Tupatupa
Faida za kua na kiongozi wa juu kabisa mwenye akili nzuri zinaonekana bayana.Kunatumika nguvu kubwa ya maneno na matendo kuhusu kutaka kumkamata Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,Freeman Mbowe. Mbowe alipotajwa na Makonda na kuitwa Central Police,alikosoa uhalali wa kutajwa na kuitwa kwake kule Dodoma. Hakwenda.
Akataka utaratibu wa kisheria ufuatwe. Utaratibu wenyewe ni mwepesi tu,ni kuandika wito wa kumwita kwake na kumfikishia. Basi. Wapi pagumu katika utaratibu huo? Mambo ya kumwita mtanzania kupitia runinga na kumwaga mikwara ya kutosha na kutisha si madogo.
Hakuna anayepinga mtanzania au mgeni yeyote kukamatwa au kuitwa na kuhojiwa. Kila mmoja wetu anatamani utaratibu ufuate. Kwanini media itumike hadi kufunika utaratibu? Kwani,kuna ajenda gani dhidi ya Mbowe wa CHADEMA? Kadiri mikwara inavyozidi ndivyo inference ya kwamba hakuna jema inavyopata mshiko.
Mwafaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Ndo wameambiwa wakiwafunga Chadema ndo viwanda vitakuja?
asante mkuu mzee tupatupa, kimsingi sterling wa movie alilengwa mbowe, sema baadaye scene ikangiliwa na upepo wapiga picha wakatawanyika. Sasa director roho inamuuma sana kwani movie iliyiotumia pesa mingi sterling hajafaaa....Kunatumika nguvu kubwa ya maneno na matendo kuhusu kutaka kumkamata Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,Freeman Mbowe. Mbowe alipotajwa na Makonda na kuitwa Central Police,alikosoa uhalali wa kutajwa na kuitwa kwake kule Dodoma. Hakwenda.
Akataka utaratibu wa kisheria ufuatwe. Utaratibu wenyewe ni mwepesi tu,ni kuandika wito wa kumwita kwake na kumfikishia. Basi. Wapi pagumu katika utaratibu huo? Mambo ya kumwita mtanzania kupitia runinga na kumwaga mikwara ya kutosha na kutisha si madogo.
Hakuna anayepinga mtanzania au mgeni yeyote kukamatwa au kuitwa na kuhojiwa. Kila mmoja wetu anatamani utaratibu ufuate. Kwanini media itumike hadi kufunika utaratibu? Kwani,kuna ajenda gani dhidi ya Mbowe wa CHADEMA? Kadiri mikwara inavyozidi ndivyo inference ya kwamba hakuna jema inavyopata mshiko.
Mwafaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Alipokamatwa Tundu Lissu bungeni na kuletwa Dar na bonge la jambazi and then akanyimwa dhamana and then siku 2 baadae jina la Mbowe kutajwa nikaanza ku connect dots kwamba kuna kitu; isije ikawa walengwa wakubwa walikua 2 tu; boss wa Yanga na wa Bilcanas; ni NDOTO zangu tu lakini, sijui kama ni kweli au LAA